Zaidi ya Ubashiri, Ni Burudani, Ushindi na Teknolojia Mpya – Global Publishers

Bingwa wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, ameleta promosheni kabambe inayowapa wachezaji wake nafasi ya kipekee ya kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25 kupitia mchezo maarufu wa Aviator. Promosheni hii, ambayo imeanza rasmi tarehe 1 Septemba 2025 na itaendelea hadi 30 Septemba 2025, inalenga kuongeza msisimko kwa wachezaji kwa kuwapa zawadi…

Read More

Mwanahabari mwingine afariki dunia Dodoma

Dodoma. Tasnia ya habari mkoani Dodoma imepata pigo lingine katika kipindi kifupi kufuatia kifo cha mwanahabari, Kadala Komba ambaye amefariki dunia leo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, alikokuwa amelazwa kwa matibabu. Komba amefariki dunia ikiwa zimepita wiki mbili baada ya kifo cha Sharon Sauwa, mwanahabari mwandamizi aliyekuwa anatumikia vyombo vya Kampuni ya…

Read More

WAGOMBEA UBUNGE MAJIMBO YA MKOA WA SONGWE WAJIVUNIA YALIYOFANYWA NA RAIS SAMIA “OKTOBA WOTE TUNATIKI KWA SAMIA”

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe WAGOMBEA ubunge wa majimbo yaliyopitishwa katika Mkoa wa Songwe wametaja mafanikio lukuki yaliyofanywa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka minne na nusu ya uongozi wake huku wakitumia nafasi hiyo kuahidi kwa niaba ya wananchi wakiahidi kumpigia kura Rais Samia katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025. Akizungumza leo…

Read More

NI MAELFU KWA MAELFU YA WANANCHI SONGWE…RAIS DK. SAMIA AAHIDI MAKUBWA

 *Aweka wazi mpango wa kumaliza msongamano wa malori Tunduma mkoani Songwe *Agusia maboresho reli ya TAZARA,maegesho ya kisasa kuepusha malori barabarani Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tunduma  NI maelfu ya wananchi,ni maelfu ya wananchi, ni maelfu ya wananchi ! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea maelfu ya wananchi wa Tunduma katika Mkoa wa Songwe wamejitokeza kwa wingi  katika mkutano…

Read More

BALOZI DKT. NCHIMBI AAGANA NA SIMIYU KWA KISHINDO AKIELEKEA SHINYANGA KUSAKA KURA ZA USHINDI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Wananchi wa Mji Mdogo wa Lalago,Maswa Mashariki wilayani Maswa wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi wakati akiwahutubia kwenye mkutano mdogo wa hadhara leo Jumatano Septemba 3,2025,wakati akimalizia mkutano wake wa mwisho wa Kampeni mkoani Simiyu. Katika mkutano huo wa kampeni,Balozi Dk.Emmanuel Nchimbi aliwanadi Wabunge wa Mkoa…

Read More