Fahamu Faida 7 Muhimu za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Juisi ya karoti ni kinywaji chenye virutubisho vingi muhimu kama vitamini, antioxidants na nyuzinyuzi, ambavyo huchangia kuboresha afya kwa ujumla. Kwa mujibu wa Healthline, juisi ya karoti ina kalori chache na wanga mdogo lakini ina virutubisho muhimu kwa mwili. Kikombe kimoja (takriban gramu 236) cha juisi ya karoti kina wastani wa: Kalori 94 Protini gramu…

Read More

DC NYAMWESE AWAPA SOMO WANAWAKE HANDENI MJI MATUMIZI YA SIMU JANJA KIBIASHARA

    Na Mwandishi Wetu, Handeni Wanawake katika Halmashauri ya Mji Handeni wametakiwa kutumia simu janja na teknolojia ya kidijitali kwa kuwa ni nyenzo muhimu ya kukuza biashara na kujikwamua kiuchumi kupitia fursa mbalimbali zinazopatikana mtandaoni.  Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese ameyasema hayo wakati akizindua Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi katika kongamano…

Read More

Sika Tanzania Yaadhimisha Miaka 10 kwa Kuzindua Mitambo ya Kisasa Dar es Salaam na Mwanza

Balozi wa Switzerland nchini Tanzania, Nicole Providoli akishirikiana na viongozi mbalimbali wa Kampuni ya Sika Tanzania wakikata Utepe kuashiria usheherekeaji wa miaka 10 ya kampuni hiyo pamoja na uzinduzi wa mitambo mipya ya kisasa katika miji ya Dar es Salaam na Mwanza.  KAMPUNI ya kimataifa ya uzalishaji wa kemikali maalum za ujenzi, Sika Tanzania, imeadhimisha miaka…

Read More

Je Wolves Msimu Huu Atashuka Daraja?

LEO hii Meridianbet inaangazia klabu ya Wolverhampton Wanderers ambao wamekuwa na msimu mbaya kwenye mashindano yote hadi sasa. Timu hiyo kutoka Uingereza inahitaji mabadiliko za haraka sasa kubakia kwenye ligi msimu ujao. Wolverhampton Wanderers wameonyesha ukuaji na mapambano yasiyo na kifani kwenye mashindano yote waliyoshiriki. Licha ya changamoto za kiufundi na ushindani mkali kutoka klabu kubwa…

Read More

WAZIRI ULEGA: BARABARA YA TAMKO MAPINGA KUKAMILIKA

Na Khadija Kalili,Kibaha WAZIRI wa Wizara ya Ujenzi ambaye pia ni Mhe.Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega amesema kuwa barabara ya TAMCO Mapinga itakamilika katika msimu ujao wa fedha na kuwataka wananchi waendelee kuwa wastahmilivu na adha wanayoipitia sasa. Waziri Ulega amesema hayo katika kikao cha siku moja cha Bodi ya Barabara ya Mkoa…

Read More

TBA YASHIRIKI KLINIKI YA KUTATUA KERO ZA WANANCHI DODOMA

  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Dodoma unashiriki katika Kliniki maalum ya kutatua kero na changamoto mbalimbali za wananchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, inayofanyika tarehe 3 hadi 6 Machi, 2026 katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Kupitia kliniki hiyo, TBA inakutana na wateja wake ambao ni wapangaji…

Read More