Jukwaa la Rising Woman kukutanisha wadau zaidi ya 400 Dar kesho
Dar es Salaam. Wadau wakiwamo wanawake zaidi ya 400 kutoka sekta mbalimbali nchini, wanatarajiwa kushiriki katika Jukwaa la Sita la The Citizen Rising Woman Initiative (RWI) linalofanyika kesho Ijumaa Machi 6, 2026 katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam. Jukwaa hili linafanyika ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani…