Kwa nini muhimu mwanamke kuchunga usafi maliwatoni

Nairobi. Wanawake wengi hukumbwa na maambukizi hasa katika sehemu zao  za siri Hii ni kutokana na desturi ya walio wengi kutozingatia usafi wakiwa maliwatoni au wanapokwenda haja. Matumizi ya choo na jinsi ya kuhakikisha usafi baada ya kumaliza haja kubwa au ndogo, ni mambo yanayofaa kuzingatiwa. Ikumbukwe wanaposhindwa kudumisha usafi, athari zifuatazo zinaweza kujitokeza kama…

Read More

VODACOMA TANZANIA YAFIKA SOKO LA MACHINGA DODOMA NA KUTOA ZAWADI ZA MAKAPU KWA WATEJA WAKE

Katika muendelezo wa kusambaza Kapu la Vodacom kwenye maeneo mbalimbali nchini, timu ya Vodacom Tanzania Plc imefika Soko la Machinga Dodoma na kuwapatia wateja wake zawadi za makapu yaliyo sheheni vitu lukuki. Zoezi hili linaendeleza utoaji wa makapu ambao tayari umefanyika katika mikoa ya mbalimbali hapa nchini. Hatua hii inaonyesha utayari wa Vodacom kurudisha shukrani…

Read More

Mkandarasi apewa siku 36 kukamilisha Daraja la Mkuyuni

Mwanza. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amempa siku 36 mkandarasi Jasco Co. Ltd anayejenga Daraja la Mkuyuni lililopo mkoani Mwanza kumaliza ujenzi huo kuanzia leo Desemba 11, 2025 hadi Januari 15 mwakani atakaporudi kulizindua. Maagizo ya Ulega yamekuja zikiwa zimepita siku chache tangu Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kumuelekeza kukutana na kumuuliza mkandarasi huyo anamaliza…

Read More

DC KASILDA AWACHARUKIA WACHIMBAJI WA MADINI YA JASI.

Na Mwandishi Wetu SAME. MKUU wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni ametangaza msimamo mkali kuhusu uchimbaji wa madini ya jasi unaoendelea katika eneo la Makanya, akiagiza hatua za haraka zichukuliwe kwa kufukia mashimo yaliyotelekezwa ili kurejesha mazingira na kuimarisha usalama wa wananchi na mifugo. Kasilda ametoa maagizo hayo wakati wa ziara yake katika machimbo ya…

Read More

Bodaboda watano wafariki dunia kwa kugongwa na lori kijiweni

Dodoma. Watu watano ambao ni madereva bodaboda wamefariki dunia papo hapo baada ya kugongwa na lori lililofeli breki eneo la Dodoma Makulu jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo. Lori lilikuwa linatokea kwenye barabara inayotokea Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) ambapo lilifeli breki na kwenda kuparamia Kijiwe cha Bodaboda cha Amani kilichopo kando ya barabara hiyo…

Read More

Madhila anayopitia kijana mwenye jinsi tata

Dar es Salaam. Alizaliwa akionekana msichana. Hati zake zote za utambulisho zikaandikwa majina ya kike na jinsia ya kike. Lakini tangu akiwa na umri wa miaka mitatu, hakuwahi kujihisi hivyo wala kuona nafsi yake ndani ya nafasi ya kike aliyopewa. “Nilijiona na kujihisi kabisa kama mwanaume ingawa maumbile yangu yalikuwa tofauti,” anaanza kusimulia kijana huyo…

Read More

Madhara ya kamari kidini na kidunia

Hakika miongoni mwa rehema za Allah kwa waja wake ni kuwaridhia dini ya Uislamu kuwa sharia yao—dini iliyoleta kila jambo lenye manufaa kwa binadamu katika maisha ya dunia na Akhera. Allah Mtukufu amesema: “Leo nimekukamilishieni dini yenu, na nimetimizia neema Yangu juu yenu, na nimeridhia Uislamu uwe dini yenu..” [5:3]. Mafundisho ya Uislamu aliyoyaweka Allah…

Read More