KIKOSI CHA DHARURA NA UOKOAJI CHA BARRICK NORTH MARA CHAOKOA WANANCHI WALIOZINGIRWA NA MAJI TARIME

Shughuli za uokoaji wakulima waliozingirwa na mafuriko katika eneo la mashambani kijijini Matongo wilayani Tarime Shughuli za uokoaji wakulima waliozingirwa na mafuriko katika eneo la mashambani kijijini Matongo wilayani Tarime  Faida za kuwepo mwekezaji mwenye uwezo, teknolojia za kisasa na mahusiano mazuri na jamii umedhihirika kutokana na Kikosi cha Dharura na Uokoaji (ERT) kutoka Mgodi…

Read More

Arusha kutumia Sh503 bilioni kutekeleza miradi ya maendeleo mwaka 2026/27

Arusha. Mkoa wa Arusha umepitisha rasimu ya mapendekezo ya mpango wa bajeti ya Sh503.595 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwa ni ongezeko Sh9.88 bilioni kutoka bajeti ya mwaka uliopita 2025/2026 iliyokuwa Sh493.71 bilioni. Aidha, katika bajeti hiyo, Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha imepangiwa Sh14.72 bilioni  huku Sh488. 867 bilioni zikielekezwa…

Read More

Watatu waliohukumiwa kifo wakwaa kisiki Mahakama ya Rufaa

Arusha. Mahakama ya Rufaa imebariki hukumu ya kunyongwa hadi kufa waliyokuwa wamehukumiwa watu watatu baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Peter Mwita kwa kumshambulia kumpiga na  matofali, vijiti, mbao na  chuma. Ilidaiwa siku ya tukio, pacha wa Peter, Zumba Mwita (shahidi wa tatu wa Jamhuri) alipopita eneo lililokuwa likiendelea kujengwa na warufani hao wakifanya…

Read More