REKODI UTEKELEZAJI MIRADI SONGWE ZAMBEBA MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA SULUHU HASSAN,WANANCHI WANAMSUBIRI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe WAKATI wa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kufanya mkutano wake wa kampeni kesho Septemba 3,2025 mkoani Songwe ,wananchi wa Mkoa huo wanajivunia mafanikio makubwa waliyopata katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake. Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya mkutano katika Mkoa wa Songwe akiwa…

Read More

Akutwa ameuawa, mwili kutelekezwa relini Kigoma

Kigoma. Mtu mmoja mwanamume amekutwa ameuawa kwa kukatwakatwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana, kisha mwili wake kutelekezwa katika Mtaa wa Butunga relini, Kata ya Kibirizi. Agosti 31, 2025, mwili wa mtu huyo aliyekadiriwa kuwa na umri wa miaka 45 mpaka 50 ulikutwa katika mtaa huo na watu waliokuwa wakipita kuelekea…

Read More

Upatu wa kinamama wasaidia kupata majiko ya nishati safi

Mwanza. Baadhi ya kinamama mkoani Mwanza wameamua kushirikiana kupitia michezo ya upatu ili kumudu gharama za majiko ya nishati safi, baada ya kutambua madhara ya kutumia kuni na mkaa. Kwa muda mrefu, maisha ya kinamama wa Mwanza, hasa wajasiriamali wanaokaanga na kuuza samaki, yamekuwa yakitegemea kuni na mkaa. Hali hiyo si tu imekuwa ikiathiri macho…

Read More

Shambulio la Israel laua 17 Palestina

Gaza. Mashambulizi ya Jeshi la Israel yameua Wapalestina 17, wakiwemo watu sita waliokuwa wanakitafuta misaada, huku Israel ikieleza kuwa mashambulizi hayo yalilenga kundi la Hamas na waliofariki ilikuwa ni kwa sababu zingine. Al Jazeera imeripoti kuwa, Israel ilitumia  vifaru  kulipua magari yaliyokuwa katika kitongoji cha Sheikh Radawan usiku wa kuamkia leo pia ilifanya mashambulizi ya…

Read More