TANZANIA YAENDELEA KUJITANGAZA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN 2026

…….. Tanzania inaendelea kujitangaza kimataifa katika maonesho ya utalii ya ITB Berlin 2026, ambapo Makumbusho ya Taifa laTanzania (NMT) inashiriki kikamilifu katika kampeni ya “Tourism Beyond Safaris.” Katika maonesho hayo, NMT inatangaza vivutio vya utalii wa urithi wa historia na utamaduni kama vile Olduvai Gorge pamoja na magofu ya Kilwa Kisiwani na maeneo mengine ya…

Read More

Soko jipya Kawe lakamilika, wafanyabiashara kicheko

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa Soko la Kawe wameanza kupata matumaini mapya baada ya Serikali kutangaza kukamilika kwa ujenzi wa soko jipya la muda kufuatia soko la awali kuteketea kwa moto. Hatua hiyo inatarajiwa kuwapa nafuu wafanyabiashara waliopoteza maeneo yao ya biashara kwa tukio la moto kwa sasa kuwaruhusu kuingia eneo lililoboreshwa kuendelea na shughuli…

Read More

RAIS DKT. MWINYI AIHIMIZA BENKI YA KCB KUSHIRIKIANA NA SMZ KUWAWEZESHA VIJANA

……. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumzia changamoto zinazowakabili vijana, ameisisitiza benki ya KCB Tanzania kupitia programu ya kurudisha fadhila kwa jamii kushirikiana na Wizara ya Vijana, Ajira na Uwezeshaji kutafuta njia bora na endelevu zitakazowanufaisha vijana, hususan katika suala la uwezeshaji wa mikopo kwa vijana…

Read More

Sportpesa Yawataka Wanamichezo Kushiriki Mchezo wa Kubahatisha

Hamza Athman, aliyejinyakulia kitita cha TZS 237,897,560 kwenye Midweek Jackpot. Na Neema Adrian Gpl Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Tanzania imewaomba wapenzi wamichezo hiyo kushiriki mchezo wa kubahatisha kwani inaendelea kubadilisha maisha kupitia Jackpot, Kasino na Aviator. Kampuni hiyo imesema wapenzi wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania, SportPesa Tanzania ni zaidi ya jukwaa la…

Read More