Dk Mwigulu: Sensa mali za watumishi wa umma inakuja

Dodoma. Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amewataka viongozi wa umma kujiandaa kwenye sensa ya kila mtu kutaja mali zake na namna alivyozipata itakayofanyika kwa nchi nzima. Dk Mwigulu ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Desemba 11, 2025 wakati akizungumza na viongozi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ikiwa ni sehemu ya ziara zake kwa…

Read More

Safari ya mwisho ya Jenista itakavyokuwa, kuzikwa Desemba 16

Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama unatarajiwa kuzikwa Jumanne ya Desemba 16, 2025 katika Kijiji cha Ruanda, Mbinga mkoani Ruvuma. Jenista ambaye amekuwa mbunge wa Peramiho kuanzia mwaka 2005, amefariki dunia jana Alhamisi, Desemba 11, 2025 jijini Dodoma. Ratiba ya mazishi yake iliyotolewa usiku huu wa Alhamisi na uongozi wa Bunge, inaonesha…

Read More

SERIKALI YALETA NEEMA KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) amefanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara tarehe 11 Desemba 2025 na kutoa salamu za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa “Serikali itaendelea kuwapunguzia mzigo wakulima wa Korosho kwa kuwa na uhakika wa pembejeo za kilimo.” Waziri Chongolo ameongeza kuwa Serikali itahakikisha Korosho zote ghafi zinazosafirishwa zitumie Bandari…

Read More

Sababu Kuu za Maumivu ya Tumbo kwa Wanawake

Last updated Dec 12, 2025 Maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake yanaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali mwilini yanayoweza kuwa sehemu yenye maumivu au sehemu nyingine mbali na maumivu yalipo. Kuna Visababishi vingi ambavyo vinaweza kuwa vya kuhitaji matibabu ya haraka au sababu za kawaida. Pia maumivu yanaweza kuwa ya…

Read More

LHRC yafungua kesi EACJ kupinga kuzimwa kwa mtandao nchini

Na Pamela Mollel,Arusha Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimefungua Kesi Na. 56/2025 katika Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki kikilalamikia hatua ya Serikali ya Tanzania kuzima mtandao kuanzia Oktoba 29 hadi Novemba 4, 2025. Kwa mujibu wa mawakili wanaoiwakilisha LHRC, Wakili Peter Majanjara na Wakili Jebra Kambole, kuzimwa kwa mtandao kulitokea ghafla…

Read More