Matawi ya CRDB kufungwa kwa siku tatu nchi nzima

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imetangaza kufunga huduma katika matawi yake yote kwa siku tatu kuanzia Septemba 5 hadi 7 mwaka huu. Kufungwa kwa matawi hayo kunalenga kutoa nafasi kwa wataalamu kufanya maboresho na kuweka mifumo ya kisasa ili kuongeza ufanisi huduma zinazotolewa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na benki hiyo kwa umma, ndani…

Read More

Chaumma yaahidi kuvalia njuga migogoro ya wakulima na wafugaji

Morogoro. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja ameahidi kuwa iwapo chama hicho kitaaminiwa kuunda Serikali, ndani ya siku 100 za kwanza, kitachukua hatua dhidi ya wale aliowaita mapapa wa ardhi waliomilikishwa maeneo makubwa na kusababisha migogoro kwa wananchi. Akihutubia wananchi wa Jimbo la Kilosa mkoani Morogoro leo Jumatano…

Read More

Abiria treni ya Ubungo walalamikia ubovu wa reli, giza usiku, kung’atwa na mbu

Dar es Salaam. Abiria wanaotumia treni ya Kariakoo kwenda Ubungo maarufu kama Treni ya Mwakyembe wamelalamikia ubovu wa kipande cha reli kutoka Barabara ya Mandela hadi Kwa Mnyamani, Buguruni, hali inayowafanya kurushwarushwa na kugongana wakati wa safari. Wakizungumza na Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti, abiria hao wameiomba TRC kuitupia jicho reli hiyo kabla haijasababisha maafa….

Read More

Wazazi wapewa rungu kudhibiti watoto wao kutumia ChatGPT

Dar es Salaam. Baada ya kuripotiwa kwa baadhi ya kesi zinazohusu matumizi mabaya ya teknolojia ya Akili Unde (AI) ya ChatGPT kwa watoto ikiwemo kusababisha madhara kama kifo. Kampuni ya teknolojia ya OpenAI inayomiliki Akili Unde hiyo ya ChatGPT imetangaza kuja na mfumo wa udhibiti wa wazazi utakaowapa uwezo wa kuunganisha akaunti zao na za…

Read More