TANZANIA YAENDELEA KUJITANGAZA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN 2026
…….. Tanzania inaendelea kujitangaza kimataifa katika maonesho ya utalii ya ITB Berlin 2026, ambapo Makumbusho ya Taifa laTanzania (NMT) inashiriki kikamilifu katika kampeni ya “Tourism Beyond Safaris.” Katika maonesho hayo, NMT inatangaza vivutio vya utalii wa urithi wa historia na utamaduni kama vile Olduvai Gorge pamoja na magofu ya Kilwa Kisiwani na maeneo mengine ya…