Dk Mwigulu: Sensa mali za watumishi wa umma inakuja
Dodoma. Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amewataka viongozi wa umma kujiandaa kwenye sensa ya kila mtu kutaja mali zake na namna alivyozipata itakayofanyika kwa nchi nzima. Dk Mwigulu ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Desemba 11, 2025 wakati akizungumza na viongozi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ikiwa ni sehemu ya ziara zake kwa…