Kibonde: Kumnyima kijana elimu ni sawa na kumfunga maisha

Dar es Salaam. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Makini, Coaster Kibonde, amesema wakipata ridhaa ya wananchi na kuingia Ikulu, watasimamia vipaumbele vitatu vya elimu, kilimo na afya. Kibonde ambaye ni mwenyekiti wa chama hicho amesema ametembea mikoa 10 katika kusaka wadhamini na amebaini vipaumbele hivyo vitatu Watanzania wamevikubali na hawatakuwa na sababu ya…

Read More

KITI CHA URAIS ZANZIBAR: Ahadi za watiania na kipimo cha vilio, kero kwa wananchi

 Dar es Salaam. Safari ya kuomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika uchaguzi visiwani Zanzibar haikuwahi kuisha ahadi, zikiwamo zenye vituko na mbwembwe ndani yake. Ukiacha ile ya kuwanunulia wanahabari pikipiki za magurudumu matatu ‘bajaji’ kutoka India iliyotolewa katika uchaguzi wa mwaka 2020, sasa imeibuka nyingine ya ruhusa ya kilimo cha bangi ili kuukwamua uchumi wa…

Read More

CCM Geita yazindua kampeni zake, mshikamano ukisisitizwa

Geita. Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Geita,  Jumanne Septemba 2, 2025 kimezindua kampeni za kuinadi Ilani ya CCM 2025-2030 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Kampeni hizo zinazinduliwa wakati majimbo saba kati ya tisa na kata 92 kati ya 122 mkoani humo, wagombea wao wanasubiri kupigiwa kura za Ndiyo na Hapana. Akizungumza katika uzinduzi huo…

Read More

ZEC, vyama vya siasa na mustakabali wa uchaguzi

Hivi karibuni, vyama 18 vya siasa vilitia saini hati ya makubaliano ya kuendesha uchaguzi wa Zanzibar kwa misingi ya amani, uwazi na haki. Tukio hilo lilisimamiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Kazi. Mkataba huo unalenga kuhakikisha kwamba kampeni za uchaguzi mwaka huu zinazingatia maadili ya kisiasa kwa kutumia lugha ya…

Read More

Nyaishozi Mfano wa shule Bora zinazotangaza ushirika kielimu

Na Diana Byera,Karagwe Wamiliki wa shule binafsi wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wametakiwa kuzingatia lengo kuu la kuanzisha shule,ambalo ni kutoa huduma ya elimu badala ya kuzigeuza shule hizo kuwa chanzo cha biashara na faida kubwa.  Wito huo umetolewa kufuatia ongezeko la malalamiko kutoka kwa jamii kuhusu gharama kubwa na michango mingi isiyoelezeka katika baadhi ya…

Read More