
Kibonde: Kumnyima kijana elimu ni sawa na kumfunga maisha
Dar es Salaam. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Makini, Coaster Kibonde, amesema wakipata ridhaa ya wananchi na kuingia Ikulu, watasimamia vipaumbele vitatu vya elimu, kilimo na afya. Kibonde ambaye ni mwenyekiti wa chama hicho amesema ametembea mikoa 10 katika kusaka wadhamini na amebaini vipaumbele hivyo vitatu Watanzania wamevikubali na hawatakuwa na sababu ya…