TPSC Yawajengea Vijana Misingi ya Maadili na Uzalendo Kuelekea Maadhimisho ya Miaka 25
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kuelekea maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Mkurugenzi wa chuo hicho Kampasi ya Dar es Salaam, Mussa Lugembe, amewataka wanafunzi wa vyuo na shule za sekondari kuwa waadilifu na wazalendo ili kujenga msingi imara wa utumishi wa umma wenye uwajibikaji nchini. Lugembe alitoa…