
Dkt. Nchimbi Amwomba Mpina Kurejea CCM, Aahidi kumpokea mwenyewe – Global Publishers
Mgombea Mwenza wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwomba Luhaga Mpina kurejea kwenye chama chake cha awali, CCM, na ameahidi kuwa atampokea mwenyewe kwa mikono miwili. Akizungumza Septemba 2, 2025 katika Jimbo la Kisesa, mkoani Simiyu, Dkt. Nchimbi alisema: “Atakayempigia simu Mpina amwambie kaka yake mkubwa alipita hapa….