Kiongozi wa wanamgambo Darfur afungwa miaka 20 na ICC
Kiongozi wa wanamgambo Darfur afungwa miaka 20 na ICC – Global Publishers Home Habari Kiongozi wa wanamgambo Darfur afungwa miaka 20 na ICC
Kiongozi wa wanamgambo Darfur afungwa miaka 20 na ICC – Global Publishers Home Habari Kiongozi wa wanamgambo Darfur afungwa miaka 20 na ICC
************ 📌 Utaimarisha upatikanaji wa umeme Mbagala na Gongo la Mboto 📌 Majaribio yameanza; Shukurani kwa Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema kuwa mradi wa upanuzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Kinyerezi 1 Extension umekamilika rasmi, ikiwa ni pamoja na kufungwa kwa Transfoma yenye uwezo…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Taifa limepata pengo kuondokewa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma, marehemu Jenista Mhagama ambaye alikuwa kiongozi aliyeheshimika na kutumikia nchi katika majukumu mbalimbali ya kitaifa. Makamu wa Rais amesema hayo wakati akitoa salamu za rambirambi alipowasili kuhani msiba…
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Fortunatus Magambo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF). Kabla ya uteuzi, Magambo alikuwa Mkurugenzi wa Mipango, Uwekezaji na Miradi katika mfuko huo. Sambamba na Magambo, Rais Samia pia amemteua Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 11, 2025, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama, kilichotokea Itega jijini Dodoma. Dkt. Mwigulu amesema taifa limepoteza kiongozi mstahiki na mtumishi wa umma aliyekuwa na historia ndefu ya kulitumikia Taifa kwa uadilifu, uzalendo na…
Last updated Dec 11, 2025 WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ni lazima yafanyike mapitio ya haraka kwenye tamko la mali na madeni na yawe na madaraja kwa sababu kuna maeneo ambayo bado rushwa imekithiri lakini watumishi wake hawajajumuishwa kwenye mfumo kama viongozi wa umma. Waziri Mkuu ameyasema hayo…
Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe na waziri wa muda mrefu, Jenista Mhagama, amefariki dunia akiacha historia ya mwanamke mpambanaji, akitokea kwenye kada ya ualimu hadi kuwa waziri katika awamu tofauti za Serikali. Mhagama, aliyezaliwa Juni 23, 1967, amefariki dunia leo Desemba 11, 2025, ukiwa umepita mwezi mmoja tangu alipoapishwa kuwa Mbunge wa Peramiho (CCM) kwa…
Na Mwandishi Wetu Arusha, Tanzania – Jukwaa la Wakurugenzi wa Makampuni nchini (CEOrt Roundtable), kwa kushirikiana na Umoja wa Kimataifa wa Uhifadhi wa Mazingira (IUCN) na wadau muhimu wa utalii, limeandaa Warsha ya Ngazi ya Juu ya kuhamasisha matumizi ya njia za asili (Nature-based Solutions (NbS) jijini Arusha katika mnyororo mzima wa thamani wa utalii…
Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali (IGP) na wenzake wawiili akiwamo Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam (ZCO), wamefikishwa mahakamani kwa madai ya kumshikilia Waziri mstaafu, Geofrey Mwambe kinyume cha sheria. Shauri hilo la maombi namba 289778/2025 limefunguliwa na…
Dodoma. Ili kuinua kipato cha wakazi wa Dodoma, mkoa huo umetambulisha kilimo kipya cha zao la kibiashara la tufaa (apple) ambapo kila kaya itatakiwa kupanda miche miwili au zaidi kwa ajili ya kujiongezea kipato kupitia zao hilo. Mti wa tufaa huanza kuzaa matunda unapofikisha miaka miwili ambapo mti mmoja uliotunzwa vizuri una uwezo wa kuzaa…