Programu ya AI yawasaidia wanafunzi wa sayansi Dodoma
Dodoma. Katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuimarisha sekta ya elimu nchini, hususan katika masomo ya sayansi na teknolojia, kituo cha Tanzania School of CommunityNetworkskimeanzisha programu maalumu ya kuwasaidia wanafunzi wa masomo ya sayansi kujifunza kwa kutumia teknolojia ya akili unde (AI). Programu hiyo inatekelezwa katika kituo kilichopo Nzuguni, jijini Dodoma ikiwa na lengo…