CEOrt, IUCN waongoza msukumo wa kueneza suluhisho zinazotumia njia za asili kukabilina na mabadiliko ya tabia nchi

Na Mwandishi Wetu Arusha, Tanzania – Jukwaa la Wakurugenzi wa Makampuni nchini (CEOrt Roundtable), kwa kushirikiana na Umoja wa Kimataifa wa Uhifadhi wa Mazingira (IUCN) na wadau muhimu wa utalii, limeandaa Warsha ya Ngazi ya Juu ya kuhamasisha matumizi ya njia za asili (Nature-based Solutions (NbS) jijini Arusha katika mnyororo mzima wa thamani wa utalii…

Read More

Serikali yaziwekea mkakati nafasi za masomo nje ya nchi

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu imeandaa mkakati maalumu unaolenga kuhakikisha inazitumia vyema fursa za ufadhili wa masomo zinazotolewa katika nchi mbalimbali. Mkakati huu umekuja kufuatia Tanzania kutonufaika na baadhi ya fursa nyingi zinazotolewa kutokana na kukosekana kwa taarifa au wanaopata taarifa kutokidhi vigezo vinavyopangwa katika ufadhili husika. Akizungumzia hilo Waziri…

Read More

Aliyeua mke, mtoto ahukumiwa kunyongwa

Arusha. Ni mauaji ya kutisha. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Hamis Shija, kuhukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kuwaua mkewe, Diana John na mtoto wao, Yakobo Hamis. Ilidaiwa mahakamani kuwa Hamis alimuua mkewe aliyekuwa mjamzito kwa kumchinja kwa kutumia panga, baadaye kutumia wembe kukata tumbo lake na kutoa watoto…

Read More

Umelala Mhagama, kikokotoo ulipambania | Mwananchi

Dodoma. Ungekuwa ni mchezo wa mpira hapa tungeuliza, eti Zungu umepigaje hapo? La hasha, huu si mpira, na huyu siyo Zungu bali ni Spika wa Bunge, Mussa  Zungu lakini alichofanya ni kuutangazia umma kuhusu msiba wa Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama. Masikini! Mhagama hayupo, Bunge la Januari 2026 hatutamuona mjengoni, hataonekana Peramiho na Ruvuma nzima,…

Read More

Shein, Karume Wasisitiza Elimu ya Muungano kwa Vijana

Rais Mstaafu wa Zanzibar wa Awamu ya Saba Dk. Ali Mohamed Shein amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni alipomtembelea nyumbani kwake Zanzibar, Disemba 10,2025 ambaye aliambatana na viongozi mbalimbali kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais. Rais Mstaafu wa Zanzibar wa Awamu ya Saba…

Read More