
WAZIRI MKUU AWATAKA MADEREVA WA SERIKALI KUFANYAKAZI KWA WELEDI
……,…… _Asisitiza wajiepushe na tabia zinazoharatisha maisha, mali na siri za Serikali_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa madereva wa Serikali wanawajibu wa kufanya kazi kwa weledi na nidhamu ya hali ya juu ikiwemo ukaguzi wa gari kabla na baada ya safari, kujaza na kutunza kikamilifu taarifa za safari na matengenezo. Amewataka madereva na wasimamizi…