Wananchi, CCM wanavyomlilia Jenista Mhagama Peramiho

Songea. Huzuni na vilio vimetawala kwa wananchi wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma kutokana na mbunge wao, Jenista Mhagama kufariki dunia leo Alhamisi Desemba 11,2025 jijini Dodoma. Wananchi hao wamesema wamepokea kwa masikitiko kifo cha Mhagama, huku wengine wakisema taarifa hiyo imewachanganya kwa sababu mbunge huyo alikuwa kiongozi hodari, mzalendo na mchapakazi. Wakizungumza na Mwananchi…

Read More

Kijana mkora wa miaka 17 alivyomuua mlinzi Lake Oil

Mwanza. Ni tukio linalofikirisha, pale kijana Method Meshack alipotiwa hatiani na Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, kwa kosa la kumuua mlinzi wa kituo cha mafuta cha Lake Oil mkoani Mwanza, alilolitenda akiwa na umri wa miaka 17. Awali kulijitokeza utata juu ya umri wake halisi wakati akitenda kosa hilo, akiwa pamoja na kundi la majambazi…

Read More

Waziri Sangu akutana na Menejimenti ya PSSSF

Waziri wa NchI Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu amekutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti pamoja na baadhi ya Watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), leo Desemba 10, 2025, jijini Dodoma. Mazungumzo hayo ni sehemu ya mwendelezo wa mikutano yake na…

Read More

KAMPENI YA ‘VUNA NA MIXX’ YAWAKOMBOA WAKULIMA WA KILOSA

Kilosa, Tanzania – Wakulima wa Wilaya ya Kilosa wamekabidhiwa zawadi mbalimbali ikiwemo pikipiki, baiskeli, simu janja na paneli za sola, ikiwa ni sehemu ya kampeni ya “Vuna na Mixx” inayolenga kutambua na kuhamasisha matumizi ya malipo ya kidigitali katika sekta ya kilimo. Hafla hiyo imehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Mheshimiwa Shaka Hamdu Shaka,…

Read More

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Aipongeza Airtel Tanzania kwa kuchochea ujumuishwaji wa watu kidigitali na uwezeshaji wa jamii

Dar es Salaam, 10 Desemba 2025. WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angelina Kairuki, ameipongeza Airtel Tanzania kwa kuendelea kuongoza katika utoaji wa huduma bora za mawasiliano nchini, kuchangia mapato ya serikali na kutoa ajira kwa zaidi ya Watanzania 2,000. Pongezi hizo zimetolewa kufuatia ziara ya Waziri Kairuki katika ofisi za Airtel,…

Read More