FLATEI ATIMKA AVT, AREJEA CCM KUMUOMBEA KURA RAIS DK. SAMIA

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira akiwa pamoja na Aliyekuwa Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Gregory Massay, aliporudi rasmi katika chama cha mapinduzi (CCM) akitokea ACT Wazalendo alipokua amejiunga hivi karibuni. ……………… ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Mbulu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Flatei Maasai ametangaza kurejea CCM akitokea ACT Wazalendo…

Read More

Mahakama yaridhia Exim kumshtaki Gavana BoT

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeiruhusu Benki ya Exim kufungua shauri dhidi ya Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupinga uamuzi wa kuirejeshea isivyo halali Kampuni ya Swiftline Logistics Limited Dola 224,000 za Marekani zilizochukuliwa kwenye akaunti. Uamuzi huo umetolewa na Jaji Awamu Mbagwa, katika shauri la Exim la…

Read More

Sakata La Muuguzi Kibondo Mganga Mkuu Wa Serikali Atoa Tamko – Global Publishers

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewatoa hofu wananchi juu ya picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha Muuguzi na Askari wakivutana katika Hospitali ya Halmashauri ya Kibondo huku ikidaiwa askari kuvamia chumba cha kujifungulia, jambo ambalo amesema sio kweli na likiwa na nia ovu ya kuichonganisha Serikali na wananchi. Dkt. Magembe ametoa ufafanuzi huo…

Read More

REKODI UTEKELEZAJI MIRADI SONGWE ZAMBEBA MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA SULUHU HASSAN,WANANCHI WANAMSUBIRI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe WAKATI wa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kufanya mkutano wake wa kampeni kesho Septemba 3,2025 mkoani Songwe ,wananchi wa Mkoa huo wanajivunia mafanikio makubwa waliyopata katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake. Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya mkutano katika Mkoa wa Songwe akiwa…

Read More