Marekani Yadai Kumuua Afisa wa Iran Aliyehusishwa na Mpango wa Kumuua Trump
Global Publishers March 5, 2026 0 Comments Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, amesema jeshi la Marekani limemuua afisa wa Iran aliyedaiwa kuhusika katika mpango wa kumuua Rais wa Marekani, Donald Trump. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Hegseth alisema kiongozi huyo wa kitengo maalum cha…