NISHATI SAFI INAKOMBOA NA KUMPA HADHI MWANAMKE
::::::: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima, amesema mwanamke anapotumia nishati safi ya kupikia anapata muda zaidi wa kushiriki shughuli za uzalishaji, ubunifu na malezi bora ya familia. Akizungumza leo Machi 4, 2025 katika kongamano la wanawake wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) la kuhamasisha matumizi ya nishati…