
Dk Nchimbi: Mpina nipigie kura na rejea CCM, yeye amjibu akisema…
Kisesa. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amemtumia ujumbe Luhaga Mpina wenye mambo mawili akimtaka ayatekeleze kwa sababu:”Mimi ni kaka yake kwa hiyo hana sababu ya kukataa.” Dk Nchimbi ameutoa ujumbe huo leo Jumanne, Septemba 2, 2025, nyumbani kwao Mpina, eneo la Mwandoya, Jimbo la Kisesa, mkoani Simiyu aliposimama…