UN yazindua kikosi kazi kulinda masilahi ya nchi zenye madini muhimu, Tanzania yatoa angalizo

Nairobi. Umoja wa Mataifa (UN) umezindua kikosi kazi kitakacholenga kuhakikisha nchi tajiri kwa madini muhimu (critical minerals) zinanufaika na rasilimali hizo zinazotumika katika mpito wa nishati safi. Hata hivyo, Tanzania imeunga mkono hatua hiyo ikitoa angalizo juhudi hizo zisigeuke kuwa vikwazo kwa maendeleo ya kiuchumi ya mataifa yenye rasilimali hizo. Kikosi kazi hicho (global task…

Read More

Wananchi, CCM wanavyomlilia Jenista Mhagama Peramiho

Songea. Huzuni na vilio vimetawala kwa wananchi wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma kutokana na mbunge wao, Jenista Mhagama kufariki dunia leo Alhamisi Desemba 11,2025 jijini Dodoma. Wananchi hao wamesema wamepokea kwa masikitiko kifo cha Mhagama, huku wengine wakisema taarifa hiyo imewachanganya kwa sababu mbunge huyo alikuwa kiongozi hodari, mzalendo na mchapakazi. Wakizungumza na Mwananchi…

Read More

Kijana mkora wa miaka 17 alivyomuua mlinzi Lake Oil

Mwanza. Ni tukio linalofikirisha, pale kijana Method Meshack alipotiwa hatiani na Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, kwa kosa la kumuua mlinzi wa kituo cha mafuta cha Lake Oil mkoani Mwanza, alilolitenda akiwa na umri wa miaka 17. Awali kulijitokeza utata juu ya umri wake halisi wakati akitenda kosa hilo, akiwa pamoja na kundi la majambazi…

Read More

Waziri Sangu akutana na Menejimenti ya PSSSF

Waziri wa NchI Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu amekutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti pamoja na baadhi ya Watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), leo Desemba 10, 2025, jijini Dodoma. Mazungumzo hayo ni sehemu ya mwendelezo wa mikutano yake na…

Read More