NISHATI SAFI INAKOMBOA NA KUMPA HADHI MWANAMKE

::::::: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima, amesema mwanamke anapotumia nishati safi ya kupikia anapata muda zaidi wa kushiriki shughuli za uzalishaji, ubunifu na malezi bora ya familia. Akizungumza leo Machi 4, 2025 katika kongamano la wanawake wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) la kuhamasisha matumizi ya nishati…

Read More

Wakulyamba, Nyamhanga, Shilogile waagwa kwa gwaride rasmi

Moshi. Jeshi la Polisi nchini limewaaga makamishna wake watatu wastaafu katika gwaride maalumu lililofanyika leo Machi 4, 2026, wenyewe wakijivunia kufanikisha operesheni kubwa ndani ya jeshi hilo. Makamishna walioagwa ni aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Benedict Wakulyamba, pamoja na Makamishna Albert Nyamhanga na Faustine Shilogile. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mkuu wa Jeshi la…

Read More

WAZIRI MBARAWA ASISITIZA THAMANI YA FEDHA KATIKA UJENZI WA CHUO CHA USAFIRI WA ANGA WA BILIONI 78

 ::::::: Waziri wa Uchukuzi, Makame Mbarawa, ametoa maelekezo kwa wasimamizi wa mradi wa ujenzi wa Chuo cha Usafiri wa Anga kuhakikisha thamani ya ujenzi inaendana kikamilifu na fedha zilizotolewa na Serikali. Akizungumza Machi 4, 2026 wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya mradi huo, Profesa Mbarawa alisisitiza kuwa ni lazima kupatikane “value for money”…

Read More

Serikali kuendelea kuwawezesha wanawake kutumia nishati safi

Dar es Salaam. Serikali imeahidi kuendelea kuweka mazingira wezeshi yatakayohakikisha wanawake wanashiriki kikamilifu katika mnyororo wa thamani wa nishati safi, kuanzia uzalishaji wa majiko banifu hadi usambazaji wa teknolojia za kisasa za kupikia. Ahadi hiyo imetolewa leo Jumatano Machi 4, 2026 na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima…

Read More