THBUB UNGUJA, PEMBA KUIMARISHA USHIRIKIANO

04 MACHI, 2026 ZANZIBAR *ZASISITIZA USHIRIKIANO MAENEO YA UTAALAMU, UZOEFU NAIBU Katibu Mtendaji Tume ya Haki za binadamu na Utawala Bora (THBUB), Bw. Juma Msafiri Karibona amehimiza suala la ushirikiano katika kutekeleza majukumu ya Tume hiyo kwa ofisi za Unguja na Pemba. Bw. Karibona aliyasema hayo ofisi za Tume zilizopo Mombasa, Wilaya ya Magharibi B…

Read More

Viwanda Mkoani Pwani Vyatakiwa Kuboresha Mazingira ya Kazi

Global Publishers March 4, 2026 0 Comments Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Rahma Kisuo, ameziagiza menejimenti za viwanda Mkoani Pwani kuboresha mazingira ya kazi na maslahi ya wafanyakazi ili kuwa na uzalishaji endelevu na wenye tija. Ametoa agizo hilo katika ziara yake ya kufuatilia utekelezaji wa sheria mbalimbali…

Read More

Takukuru ilivyookoa Sh51 milioni Shinyanga

Shinyanga. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Shinyanga, imeokoa Sh51.75 milioni, ikiwa ni thamani ya vifaa vya ujenzi wa miradi ya maendeleo, huku ikiendelea na uchunguzi wa mzabuni aliyenunua vifaa bila kuviwasilisha katika mradi. Hayo yamethibitishwa leo Jumatano, Machi 4, 2026, na Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Shinyanga, Donasian Kessy, wakati…

Read More

Nani Kukupatia Pesa Mechi za Leo?

PESA iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi mbalimbali ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. EPL kama kawaida kuna mechi kali ambayo itapigwa leo Chelsea atakuwa ugenini dhidi ya Aston Villa ambao wapo nafasi ya…

Read More