Kauli ya Rais wa Benin baada jaribio la kumpindua kudhibitiwa
Dar es Salaam. Rais wa Benin, Patrice Talon amewatuliza wananchi wa taifa hilo wakati akizungumza mubashara kupitia televisheni ya taifa baada ya jaribio la mapinduzi lililotokea mapema Jumapili Desemba 7, 2025. Akiwa na mwenendo wa utulivu wakati wa hotuba hiyo ya jioni, Talon alitangaza kuwa hali nchini humo ipo katika udhibiti kamili na kulipongeza jeshi…