Gabriel Mkwiti: Mke wangu alijifungua pacha, tukapewa mtoto mmoja
Dar es Salaam. Katika Kijiji cha Kasanga, wilayani Nkasi, Mkoa wa Rukwa, simulizi ya Gabriel Mkwiti (60) imeacha maswali mengi kuhusu kilichotokea siku mke wake alipokwenda kujifungua katika hospitali ya wilaya, tukio analodai liliwaacha na mtoto mmoja badala ya pacha kama ambavyo kadi ya kliniki inavyoonesha. Mkwiti ametoa simulizi ya tukio hilo leo Jumanne, Machi…