Akutwa ameuawa, mwili kutelekezwa relini Kigoma

Kigoma. Mtu mmoja mwanamume amekutwa ameuawa kwa kukatwakatwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana, kisha mwili wake kutelekezwa katika Mtaa wa Butunga relini, Kata ya Kibirizi. Agosti 31, 2025, mwili wa mtu huyo aliyekadiriwa kuwa na umri wa miaka 45 mpaka 50 ulikutwa katika mtaa huo na watu waliokuwa wakipita kuelekea…

Read More

Upatu wa kinamama wasaidia kupata majiko ya nishati safi

Mwanza. Baadhi ya kinamama mkoani Mwanza wameamua kushirikiana kupitia michezo ya upatu ili kumudu gharama za majiko ya nishati safi, baada ya kutambua madhara ya kutumia kuni na mkaa. Kwa muda mrefu, maisha ya kinamama wa Mwanza, hasa wajasiriamali wanaokaanga na kuuza samaki, yamekuwa yakitegemea kuni na mkaa. Hali hiyo si tu imekuwa ikiathiri macho…

Read More

Shambulio la Israel laua 17 Palestina

Gaza. Mashambulizi ya Jeshi la Israel yameua Wapalestina 17, wakiwemo watu sita waliokuwa wanakitafuta misaada, huku Israel ikieleza kuwa mashambulizi hayo yalilenga kundi la Hamas na waliofariki ilikuwa ni kwa sababu zingine. Al Jazeera imeripoti kuwa, Israel ilitumia  vifaru  kulipua magari yaliyokuwa katika kitongoji cha Sheikh Radawan usiku wa kuamkia leo pia ilifanya mashambulizi ya…

Read More

DAWASA yadhibiti mivujo ya maji Bagamoyo

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kupitia Mkoa wa Kihuduma Chalinze imedhibiti mivujo ya maji katika maeo ya Kiwangwa, Mwavi na Mwetemo wilayani Bagamoyo. Akizungumzia kazi hiyo, Kaimu Meneja wa Mkoa wa Kihuduma Chalinze, Mhandisi Hafidhi Mketo amesema udhibiti huo umefanyika katika mabomba ya nchi 3′, 2′ na moja 1…

Read More

Maporomoko yaua 1,000, mmoja anusurika Sudan

Watu 1,000 wamefariki dunia huku mmoja akiokolewa kufuatia maporomoko ya ardhi yaliotokea  katika eneo la Darfur nchini Sudan. Maafa hayo yanatokea  wakati Taifa hilo lkingia mwaka wa tatu wa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yaliopekekea vifo vya maelfu ya watu  na hali ngumu ya maisha na ukosefu wa usalama. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…

Read More

Tuwajenge watoto kupenda elimu tangu utotoni

Dar es Salaam. Katika jamii yoyote ile elimu ni silaha muhimu ya kuleta mabadiliko ya kweli. Kupitia elimu, mtu anaweza kufikia ndoto zake, kuibadilisha familia yake, na hata kulibadili taifa zima. Hali hii inaleta umuhimu wa kumjenga mtoto kupenda elimu tangu akiwa mdogo. Ni jambo lisilopingika kwamba mapenzi ya elimu hayaanzi tu ghafla mtoto anapofikia…

Read More

TBS na udhibiti wa bidhaa hafifu

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wazalishaji, wasambazaji, wafanyabiashara na waingizaji wa bidhaa nchini kuhakikisha bidhaa wanazozalisha au kuuza zinakidhi matakwa ya viwango na ubora ili kulinda afya za wananchi na kutimiza azma ya Serikali ya kuhakikisha upatikanaji wa bidhaa bora sokoni. Akizungumza leo Septemba 1, 2025 na waandishi wa…

Read More

Mbinu za kutambua kipaji ulichonacho

Dar es Salaam. Kuna uhusiano wa karibu baina ya elimu na kipaji. Elimu inakuwezesha kukidhi matarajio yako na ya wengine ila kipaji kinakidhi matarajio yako. Ukiwa na elimu na kipaji, unafika mbali zaidi kuliko ukiwa na kimoja peke yake.Kila mtu ameumbwa na kipaji. Mwanasaikolojia, Howard Gardner katika nadharia yake amechambua aina mbalimbali za uwezo wa…

Read More