………….. WATANZANIA wamehimizwa kulipa uzito na msisitizo suala la uhifadhi na usimamizi wa mazingira nchini kwani ni agenda muhimu ya kimaendeleo kwa binadamu. Hayo yamesemwa
Category: Habari

Mhe. Balozi Hamad Khamis Hamad amekutana na Mhe. Margarida Adamugu Talapa, Rais wa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji kwenye Ofisi za Bunge hilo Leo

Matukio mbalimbali katika picha wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya Kiswahili duniani, tarehe 7, Julai, 2025. Maadhimisho hayo yaliyofanyika katika eneo la Yumeshima;

TANZANIA ikiwa ni nchi mwanachama wa EITI imeendelea kutekeleza Matakwa ya Kimataifa ya EITI ambapo kila mwaka nchi mwanachama wa Asasi ya EITI inatakiwa kuweka wazi

Tumebakiza siku 110 kama uchaguzi mkuu utafanyika Oktoba 26,2025, lakini tunashuhudia baadhi viongozi wa vyama vya upinzani na watia nia, wakitoa ahadi zisizotekelezeka hadi unajiuliza

Dar es Salaam. Tanzania imezindua nembo maalumu ya ‘Made in Tanzania’ huku ikitajwa kuwa hatua muhimu ya maendeleo nchini na itaitambulisha Tanzania kimataifa kama Taifa

Shinyanga. Zaidi ya Sh1.14 bilioni zinatarajiwa kutumika katika maandalizi ya Mpango Kabambe wa Kidijitali (Master Plan) wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga. Mpango

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali itaendelea kuboresha Ushauri kwa Taasisi za Umma wakati wa kuingia mikataba mbalimbali ili kuwa na Mikataba iliyobora na kutimiza

Morogoro. Kwa mujibu wa Sheria namba 23 ya mwaka 2002 ya Tiba za Asili na Tiba Mbadala, huduma za ukandaji na uchuaji misuli zinatambuliwa kama

Tabora. Moto mkubwa umezuka usiku wa manane na kuteketeza maduka matano yaliyokuwa na bidhaa mbalimbali zikiwemo nguo, vifaa vya saluni na chakula, katika eneo la