SERIKALI YATANGAZA VIPAUMBELE VIPYA VYA UWEKEZAJI NA FURSA KWA VIJANA KUELEKEA UTEKELEZAJI WA DIRA 2050

Amebainisha kuwa kipaumbele kitaelekezwa katika sekta 10 muhimu ikiwemo kilimo na uchakataji, uzalishaji wa bidhaa tunazoagiza kutoka nje (kama mafuta ya kupikia, ngano na dawa), ufugaji, uvuvi, utalii, ujenzi, madini, misitu, nishati, na huduma za fedha. Aidha, Serikali inazindua Benki ya Ardhi yenye zaidi ya hekta 170,000 kwa ajili ya uwekezaji, pamoja na kuanzisha Jukwaa…

Read More

Teknolojia inavyoibua ukatili mpya wa kidijitali

Iringa. Pamoja na manufaa makubwa yanayoletwa na maendeleo ya teknolojia, changamoto mpya za ukatili wa kijinsia zimeendelea kuibuka na kuathiri wananchi katika maeneo mbalimbali nchini. Hayo yamebainishwa na wadau wa masuala ya jinsia wakiwemo wa kutoka Shirika la Norwegian Church Aid (NCA) kwenye mikutano ya uhamasishaji iliyofanyika katika kijiji cha Lugalo, wilaya ya Kilolo, mkoani…

Read More

Zarili yatakiwa kutathimini utendaji kazi wake

Unguja. Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar, Suleiman Masoud Makame, amesema hajaridhishwa na mpangilio wa miundombinu, matumizi ya ardhi na namna shughuli zinavyoendeshwa katika Taasisi ya Utafiti wa Kilimo na Mifugo (Zarili). Amesema mazingira ya sasa ya taasisi hiyo hayako katika hali inayoweza kuonesha ufanisi, ubunifu au uendelevu unaotarajiwa kutoka kituo cha utafiti…

Read More

ELAF yaonya viongozi wa dini na Serikali, yataka hekima na amani

Dar es Salaam. Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na masuala ya kisheria, Everlasting Legal Aid Foundation (ELAF), limewataka viongozi wa dini, Serikali na jamii   kuendeleza uzalendo na kulinda tunu za Taifa, hususan katika kipindi hiki cha maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania. Akizungumza leo Desemba 8, 2025, ofisini kwake jijini Dar es Salaam…

Read More

Mzee aliyeshtakiwa kwa mauaji ya mwanaye anusurika kitanzi

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba, imemuachia huru Ernest Mashurano (71), aliyekuwa ameshtakiwa kwa mauaji ya binti yake, Namala Ernest (13), baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kesi dhidi yake. Mauaji hayo yalitokea Julai 15, 2024 katika Kijiji cha Kibimba wilayani Kyerwa mkoani Kagera, ambapo mwili wa Namala ulikutwa ukielea juu ya kisima cha…

Read More

Baada ya furaha, abiria waacha vilio Magufuli

Dar es Salaam. Kati ya Novemba 30 hadi Desemba 7, mwaka huu zilikuwa siku za neema kwa wafanyabiashara kwenye stanedi kuu ya mabasi ya Magufuli, jijini Dar es Salaam kutokana na utitiri wa abiria waliokuwa wakisafiri kwenda mikoani. Idadi kubwa ya abiria ilikuwa neema kwa wenye mabasi na wafanyabiashara ndogondogo waliopo ndani na nje ya…

Read More