Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 6
Habari

LUHEMEJA AWATAKA WATANZANIA KUTOA UZITO NA MSISITIZO UHIFADHI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA

July 7, 2025 Admin

………….. WATANZANIA wamehimizwa kulipa uzito na msisitizo suala la uhifadhi na usimamizi wa mazingira nchini kwani ni agenda muhimu ya kimaendeleo kwa binadamu. Hayo yamesemwa

Read More
Habari

BALOZI HAMAD AKUTANA NA RAIS WA BUNGE LA MSUMBIJI

July 7, 2025 Admin

   Mhe. Balozi Hamad Khamis Hamad amekutana na Mhe. Margarida Adamugu Talapa, Rais wa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji kwenye Ofisi za Bunge hilo Leo

Read More
Habari

MAADHIMISHO YA SIKU YA KISWAHILI DUNIANI YAFANYIKA OSAKA JAPAN

July 7, 2025 Admin

Matukio mbalimbali katika picha wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya Kiswahili duniani, tarehe 7, Julai, 2025. Maadhimisho hayo yaliyofanyika katika eneo la Yumeshima;

Read More
Habari

TEITI YAWEKA WAZI RIPOTI YA 15 YA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

July 7, 2025 Admin

TANZANIA ikiwa ni nchi mwanachama wa EITI imeendelea kutekeleza Matakwa ya Kimataifa ya EITI ambapo kila mwaka nchi mwanachama wa Asasi ya EITI inatakiwa kuweka wazi

Read More
Habari

UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Tuache mzaha, hiki si kizazi cha kupewa ahadi hewa majukwaani

July 7, 2025 Admin

Tumebakiza siku 110 kama uchaguzi mkuu utafanyika Oktoba 26,2025, lakini tunashuhudia baadhi viongozi wa vyama vya upinzani na watia nia, wakitoa ahadi zisizotekelezeka hadi unajiuliza

Read More
Habari

Dk Mwinyi aipigia chapuo ‘Made in Tanzania’ Maonyesho ya Sabasaba

July 7, 2025 Admin

Dar es Salaam. Tanzania imezindua nembo maalumu ya ‘Made in Tanzania’ huku ikitajwa kuwa hatua muhimu ya maendeleo nchini na itaitambulisha Tanzania kimataifa kama Taifa

Read More
Habari

Zaidi ya Sh1.14 bilioni kutumika maandalizi ya kuupanga Mji wa Kahama kidijitali

July 7, 2025 Admin

Shinyanga. Zaidi ya Sh1.14 bilioni zinatarajiwa kutumika katika maandalizi ya Mpango Kabambe wa Kidijitali (Master Plan) wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga. Mpango

Read More
Habari

OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA USHAURI KATIKA MIKATABA KWA TAASISI ZA UMMA

July 7, 2025 Admin

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali itaendelea kuboresha Ushauri kwa Taasisi za Umma wakati wa kuingia mikataba mbalimbali ili kuwa na Mikataba iliyobora na kutimiza

Read More
Habari

Baraza latambua ‘massage’ kama tiba asili

July 7, 2025 Admin

Morogoro. Kwa mujibu wa Sheria namba 23 ya mwaka 2002 ya Tiba za Asili na Tiba Mbadala, huduma za ukandaji na uchuaji misuli zinatambuliwa kama

Read More
Habari

Maduka matano yateketea kwa moto Tabora

July 7, 2025 Admin

Tabora. Moto mkubwa umezuka usiku wa manane na kuteketeza maduka matano yaliyokuwa na bidhaa mbalimbali zikiwemo nguo, vifaa vya saluni na chakula, katika eneo la

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 5 6 7 … 2,748 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.