
NIRC YAWEKA KAMBI KUCHIMBA VISIMA 52 VYA UMWAGILIAJI TABORA John Bukuku Last updated: 2025/09/01 at 2:38 PM John Bukuku 4 hours ago Share
…………. NIRC:Nzega Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeanza uchimbaji wa visima 52 katika halmashauri nane za Mkoa wa Tabora. Ili kuwezesha wakulima wa maeneo hayo kuacha kulima kilimo cha mazoea ya kugemea msimu wa mvua na kujikita katika kilimo cha kisasa cha umwagiliaji. Katika kijiji cha Miguwa, visima vitakavyochimbwa vitamwagilia zaidi ya ekari…