𝗠𝗔𝗚𝗘𝗨𝗭𝗜 𝗬𝗔 𝗘𝗟𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔𝗧𝗔𝗪𝗘𝗭𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗩𝗜𝗝𝗔𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗘𝗡𝗚𝗔 𝗧𝗔𝗜𝗙𝗔 𝗟𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗡𝗚𝗨𝗩𝗨 𝗡𝗔 𝗨𝗖𝗛𝗨𝗠𝗜 𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗩𝗨

 ::::::::  Serikali imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya elimu pamoja na kuongeza fursa za masomo katika ngazi mbalimbali. Miongoni mwa hatua hizo ni kuongezeka kwa bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kutoka Sh. bilioni 464 mwaka 2020/21 hadi Sh. bilioni 926.7 mwaka 2025/26.  Akizungumza na Waandishi wa Habari Disemba…

Read More

Watalii waongezeka Zanzibar Novemba Waitaliano waongoza

Unguja. Takwimu kutoka Zanzibar zinaonyesha kuwa visiwa hivyo vilipokea watalii wa kimataifa 72,833 katika kipindi cha Novemba 2025, ikiwa ni ongezeko la asilimia 8.6 ikilinganishwa na wageni 67,049 waliowasili kipindi kama hicho mwaka jana. Hiyo ni kwa mujibu wa Tume ya Utalii Zanzibar kwa kushirikiana na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali zilizotolewa juzi Desemba…

Read More

Mashauri 15 ACT Wazalendo yatajwa mahakamani leo

Unguja. Mashauri 15 kati ya 17 ya Unguja yametajwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar yanayopinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu huku mashauri mawili ya Jimbo la Makunduchi na Kiembesamaki kutajwa kati ya Desemba 14 au 15.  Mashauri hayo yamefunguliwa na wanachama 15 wa Chama cha ACT Wazalendo na waliokuwa wagombea wa…

Read More

Marufuku magari binafsi, bodaboda barabara za mwendokasi

Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) umepiga marufuku vyombo vyote vya moto isipokuwa mabasi ya ‘mwendokasi’ kutumia miundombinu ya mabasi yaendayo haraka kuanzia leo Jumatano, Desemba 10, 2025. Marufuku hiyo imetangazwa leo Jumatano na Dart kupitia taarifa kwa umma ya Kitengo cha Mawasiliano cha Uhusiano kwa Umma Dart. “Dart inasisitiza vibali vyote…

Read More