Sintofahamu ya sheria na raia kugonga treni

Dar es Salaam/mikoani. Ndani ya takribani mwezi mmoja, vimetokea vifo vya watu wawili waliogonga treni katika matukio tofauti, ambavyo vimeibua maswali lukuki kuhusu uzingatiaji wa sheria za reli, tahadhari zinazotolewa katika vivuko na nidhamu ya watumiaji wa barabara. Tukio la karibuni lilitokea Februari 23, 2026 katika eneo la Tabata Relini (Mwananchi)  jijini Dar es Salaam…

Read More

BALOZI LUVANDA AITAKA NCMC KUYAFIKIA MASOKO YA KIMATAIFA

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Balozi Baraka Luvanda amekitaka Kituo cha Taifa cha Kufuatilia Kaboni (NCMC) kuimarisha na kupanua wigo wa ushiriki wa Tanzania katika masoko ya kimataifa ya kaboni. Amesema ushiriki huo upewe msukumo kupitia uhifadhi ya mazingira na miradi ya kaboni katika sekta zote za Uchumi wa buluu,…

Read More

Ziara ya Dk Mwigulu yaweka hatarini ajira za watendaji mikoani

Dar es Salaam. Huenda ziara zilizofanywa na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, katika mikoa ya kaskazini zikaweka hatarini nafasi za baadhi ya watendaji serikalini kutokana na kubainika kwa kasoro za kiutendaji. Katika ziara hiyo iliyoanzia Mkoa wa Tanga Februari 13, 2026, kisha Kilimanjaro, Arusha na Manyara, Dk Mwigulu aliwabananisha watendaji wa Serikali akitaka kupatiwa ufafanuzi…

Read More

Israel Yashambulia Makao Makuu ya Jeshi la Iran mjini Tehran

Global Publishers March 4, 2026 0 Comments Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limethibitisha mashambulio dhidi ya makao makuu ya kijeshi ya Iran mjini Tehran, huku Qatar ikipata mashambulio ya makombora mawili ya masafa marefu, bila kuarifiwa kuhusu majeruhi. Msemaji wa IDF, Avichay Adraee, amesema kwamba mashambulio hayo yamelenga makao makuu ya Basij, kikosi cha…

Read More