Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Yatangaza Siku 10 za Mvua
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Yatangaza Siku 10 za Mvua – Global Publishers Home Habari Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Yatangaza Siku 10 za Mvua
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Yatangaza Siku 10 za Mvua – Global Publishers Home Habari Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Yatangaza Siku 10 za Mvua
Bernabéu Yawaka Moto! Real Madrid Yapoteza Tena, Xabi Aingia Hatarini – Global Publishers Home Michezo Bernabéu Yawaka Moto! Real Madrid Yapoteza Tena, Xabi Aingia Hatarini
Bata la Kifalme! Aziz Ki Aungana na Hamisa Kusherehekea Birthday! – Global Publishers Home Burudani Bata la Kifalme! Aziz Ki Aungana na Hamisa Kusherehekea Birthday!
Pacôme Zouzoua Apoteza Nafasi AFCON 2025 – Mashabiki Washangaa! – Global Publishers Home Michezo Pacôme Zouzoua Apoteza Nafasi AFCON 2025 – Mashabiki Washangaa!
Unajua Faida na Hasara za Nanasi Kwa Afya Yako, Zipo Hapa! – Global Publishers Home Afya Unajua Faida na Hasara za Nanasi Kwa Afya Yako, Zipo Hapa!
Trump Aendeleza Mvutano na Ilhan Omar, Atupa Madai Mapya Yenye Utata – Global Publishers Home Habari Trump Aendeleza Mvutano na Ilhan Omar, Atupa Madai Mapya Yenye Utata
:::::::: Serikali imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya elimu pamoja na kuongeza fursa za masomo katika ngazi mbalimbali. Miongoni mwa hatua hizo ni kuongezeka kwa bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kutoka Sh. bilioni 464 mwaka 2020/21 hadi Sh. bilioni 926.7 mwaka 2025/26. Akizungumza na Waandishi wa Habari Disemba…
Unguja. Takwimu kutoka Zanzibar zinaonyesha kuwa visiwa hivyo vilipokea watalii wa kimataifa 72,833 katika kipindi cha Novemba 2025, ikiwa ni ongezeko la asilimia 8.6 ikilinganishwa na wageni 67,049 waliowasili kipindi kama hicho mwaka jana. Hiyo ni kwa mujibu wa Tume ya Utalii Zanzibar kwa kushirikiana na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali zilizotolewa juzi Desemba…
Unguja. Mashauri 15 kati ya 17 ya Unguja yametajwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar yanayopinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu huku mashauri mawili ya Jimbo la Makunduchi na Kiembesamaki kutajwa kati ya Desemba 14 au 15. Mashauri hayo yamefunguliwa na wanachama 15 wa Chama cha ACT Wazalendo na waliokuwa wagombea wa…
Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) umepiga marufuku vyombo vyote vya moto isipokuwa mabasi ya ‘mwendokasi’ kutumia miundombinu ya mabasi yaendayo haraka kuanzia leo Jumatano, Desemba 10, 2025. Marufuku hiyo imetangazwa leo Jumatano na Dart kupitia taarifa kwa umma ya Kitengo cha Mawasiliano cha Uhusiano kwa Umma Dart. “Dart inasisitiza vibali vyote…