MAKATBU WAKUU SADC WAPITIA MPANGO WA MAENDELEO WA KANDA. WABAINI CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI

:::::::::: Kikao cha Makatibu Wakuu na Maafisa Waandamizi wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kupitia utekelezaji wa Mpango Mkakati Elekezi wa Maendeleo ya Kikanda (Regional Indicative Strategic Development Plan- RISDP) kimeanza leo tarehe 04 Machi 2026 jijini Pretoria, Afrika Kusini. Ujumbe wa Tanzania katika kikao hicho cha utangulizi kuelekea Mkutano…

Read More

Iran yashambulia kituo cha CIA Saudi Arabia

Riyadh. Kituo cha CIA kilichopo ndani ya ubalozi wa Marekani mjini Riyadh, kimeripotiwa kushambuliwa na droni zinazodaiwa kutoka Iran, katika tukio linaloashiria kuongezeka kwa mvutano wa kijeshi katika Ukanda wa Ghuba. Kwa mujibu wa vyanzo vya Saudi Arabia, droni mbili zilidondoka karibu na eneo la ubalozi na kusababisha moto mdogo pamoja na uharibifu wa mali,…

Read More

RC MARA ATEMBELEA UJENZI WA MAKAZI MAPYA YA WANANCHI WANAOPISHA UPANUZI WA MGODI WA BARRICK NORTH MARA

Mkuu wa Mkoa wa Mara,Kanali Evans Mtambi akitembelea moja ya sehemu inapojengwa nyumba ya mwananchi ambaye amepatiwa fidia kupisha upanuzi wa mgodi wa Barrick North Mara,aliongozana na viongozi mbalimbali wa Serikali mkoani humo na maofisa waandamizi wa mgodi. Mkuu wa Mkoa wa Mara,Kanali Evans Mtambi akitembelea moja ya sehemu inapojengwa nyumba ya mwananchi ambaye amepatiwa…

Read More

JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE HANDENI MJI KUZINDULIWA MACHI 5

  Na Mwandishi Wetu KATIKA kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Halmashauri ya Mji Handeni imejipanga kutekeleza shughuli mbalimbali ikiwamo uzinduzi wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi. Akizungumza kuhusu maandalizi ya maadhimisho hayo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni, Maryam Ukwaju, amesema halmashauri hiyo inatambua na kuthamini mchango mkubwa wa wanawake katika…

Read More