Kampeni zaendelea, vyama vitatu vikisuasua

Dar/Mikoani. Wakati Chama cha Demokrasia Makini kikizindua kampeni zake za uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kesho Jumanne, vyama vinne vimepishana na ratiba ya uzinduzi wa kampeni zao iliyotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), huku Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kujinadi kwa wananchi. Wakati kampeni zikiingia siku ya tano leo tangu zianze Agosti…

Read More

Ahadi hewa mwendokasi Mbagala zakera wakazi Dar

Dar es Salaam. Baada ya huduma ya mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) katika barabara ya Mbagala kukwama kuanza leo kama ilivyoahidiwa awali na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), wachumi na wadau mbalimbali wamejitokeza kutoa malalamiko pamoja na ushauri wa nini kifanyike ili huduma hiyo ianze kutekelezwa. Akieleza sababu ya kushindwa kutimiza ahadi hiyo, alipozungumza na…

Read More

Sababu wanawake kuwa vinara wa mikopo

Dar es Salaam. Kwa mara ya kwanza nchini, wanawake wanamiliki akaunti za mikopo ya kidijitali nyingi zaidi kuliko wanaume, jambo linalowafanya kuwa wakopaji wakuu katika sekta ya teknolojia ya fedha inayokua kwa kasi. Takwimu mpya kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Ofisi za Taarifa za Wakopaji (Credit Reference Bureaus) zinaonesha idadi ya akaunti za…

Read More

Hizi hapa ahadi za Dk Nchimbi kwa wananchi Simiyu

Busega. Wakati mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi akiwaahidi wana Busega, mkoani Simiyu miradi mbalimbali, wananchi nao wamekitaka chama hicho kuzitekeleza kwa vitendo. Wamesema kuahidi ni jambo moja na kuzitekeleza ni suala jingine, hivyo mgombea Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wanapaswa kuhakikisha ahadi hizo zinatekelezwa ndani ya miaka…

Read More

Misime: Hakuna kontena la silaha lililoingizwa nchini

Wakati tuhuma za kuingizwa kwa kontena lenye silaha zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii, Jeshi la Polisi Tanzania limekanusha taarifa hizo likisema ni madai yasiyo na ukweli. Hayo yameelezwa na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), David Misime, wakati akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu, Septemba 1, 2025, jijini Dodoma….

Read More

Kero tano zinavyopigiwa chapuo na wagombea urais

Dar/Mikoani. Upatikanaji duni wa huduma ya maji safi na salama, migogoro ya ardhi, miundombinu, uhaba wa ajira na kipato kwa wananchi, ndizo changamoto zilizoteka vinywa vya wagombea urais wa vyama mbalimbali vya siasa ndani ya siku tano za mwanzo za kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Tayari kampeni hizo zimeshafanyika katika mikoa ya Dar…

Read More

Zombie Apocalypse Na Promosheni Kubwa kwa Wapenzi wa Kasino

KASINO ni burudani, lakini Meridianbet imeamua kugeuza burudani hiyo kuwa sherehe ya kipekee. Ikiwa unatafuta furaha, basi Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins ni tiketi yako ya kuingia kwenye ulimwengu wa michezo ya kasino kwa ucheshi na zawadi. Kila Jumanne na Alhamisi, watumiaji wa Meridianbet wanapewa nafasi ya kushinda mizunguko ya bure kwenye mchezo maarufu…

Read More

Ahadi hewa safari za Mwendokasi Mbagala zaibua mjadala

Dar es Salaam. Baada ya huduma ya mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) katika barabara ya Mbagala kukwama kuanza leo kama ilivyoahidiwa awali na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), wachumi na wadau mbalimbali wamejitokeza kutoa malalamiko pamoja na ushauri wa nini kifanyike ili huduma hiyo ianze kutekelezwa. Akieleza sababu ya kushindwa kutimiza ahadi hiyo, alipozungumza na…

Read More

Wanawake waongoza mikopo kidijitali | Mwananchi

Dar es Salaam. Kwa mara ya kwanza nchini, wanawake wanamiliki akaunti za mikopo ya kidijitali nyingi zaidi kuliko wanaume, jambo linalowafanya kuwa wakopaji wakuu katika sekta ya teknolojia ya fedha inayokua kwa kasi. Takwimu mpya kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Ofisi za Taarifa za Wakopaji (Credit Reference Bureaus) zinaonesha idadi ya akaunti za…

Read More

Dk Nchimbi awaahidi makubwa Simiyu, wananchi wataka utekelezaji

Busega. Wakati mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi akiwaahidi wana Busega, mkoani Simiyu miradi mbalimbali, wananchi nao wamekitaka chama hicho kuzitekeleza kwa vitendo. Wamesema kuahidi ni jambo moja na kuzitekeleza ni suala jingine, hivyo mgombea Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wanapaswa kuhakikisha ahadi hizo zinatekelezwa ndani ya miaka…

Read More