Mawaziri wanne watua Pwani, wapewa kero nne

Pwani. Wawekezaji katika Kongani ya Viwanda Kwala, Mkoa wa Pwani, wamepaza sauti wakitaka kupatiwa umeme wa uhakika, maji, kuwekewa kituo cha treni ya umeme (SGR), na nafuu za kikodi walizoahidiwa mwanzoni. Wametoa changamoto hizo leo, Jumatano, Desemba 10, 2025, walipotembelewa na mawaziri wanne wa kisekta na Serikali imewahakikishia kuzitafutia ufumbuzi wa haraka. Mawaziri hao na…

Read More

SMZ yaeleza nafasi ya Kiswahili kidijitali

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema kwa sasa lugha ya Kiswahili inapaswa kuwa katika mfumo wa kidijitali na utafiti wa kisayansi ili kuendana na kasi ya teknolojia. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema hayo leo Jumanne Desemba 10, 2025 alipomwakilisha Rais Hussen Ali Mwinyi katika ufunguzi wa kongamano…

Read More

RC BABU AWATAKA WAGENI KUILINDA AMANI YA KILIMANJARO.

MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amewataka wageni wote wanaowasili mkoani humo kwa ajili ya sikukuu za Christmas na Mwaka mpya kuhakikisha wanailinda amani ambayo wameikuta. Babu ametoa kauli hiyo leo alipozungumza na waandishi wa habari ambapo amesema kuwa, kwa sasa wameanza kupokea wananchi wengi wanaofanya shughuli nje ya mkoa ambapo kwa sasa wamerejea…

Read More

WATUMISHI WA MAENDELEO YA JAMII TUWAJIBIKE – MHE.MARYPRISCA

Na Jackline Minja WMJJWM-Dodoma. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka watumishi wa Kituo cha Huduma kwa wateja kuwajibika kwa kuwahudumia wananchi na kutatua changamoto zao. Mhe. Maryprisca ameyasema hayo leo tarehe 10 Desemba, 2025 alipotembelea kituo hicho ikiwa ni ziara ya kujifunza namna kinavyowahudumia wananchi….

Read More

Kijana adaiwa kumbaka, kumjeruhi bibi yake

Mbozi. Obadia Mpenzu (22), mkazi wa Kitongoji cha Majimoto, Kijiji cha Nanyala, wilayani Mbozi, mkoani Songwe anashikiliwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kumbaka na kumjeruhi bibi yake mwenye miaka 80. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Augustino Senga, amekiri kumshikilia mtuhumiwa. Akizungumza na Mwananchi, Mwenyekiti wa Kijiji cha Nanyala, Maneno Mwambunga, amesema tukio hilo lililotokea…

Read More

Mama adaiwa kuua mwanaye, kutupa mwili shambani

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Marry Timotheo, kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake, Scola Mwaba, kisha kutupa mwili wake shambani jirani na nyumba anayoishi. Mwamba (10) alikuwa mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Ngonde. Tukio la mauji linadaiwa kutokea  jana Desemba 9, 2025 saa 6:30 mchana katika Kijiji…

Read More