Simulizi ya Othman miaka mitano ya visa, mkasa kwenye siasa

Miaka mitano imepita tangu Othman Masoud Othman alipoingia rasmi kwenye siasa, baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Machi Mosi, 2021 kupitia chama chake cha ACT Wazalendo. Othman, maarufu kama OMO, aliteuliwa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Maalim Seif Sharif Hamad, aliyefariki Februari 17, 2021 kiongozi wa siasa za upinzani visiwani…

Read More

Serikali ionyeshe njia ya kusaidia wanyonge

Kwa mara nyingine, Tume ya Ushindani wa Haki wa Kibiashara Zanzibar (ZFCC) imewaonya wafanyabiashara wanaokiuka bei elekezi za vyakula zilizopangwa na Serikali. Tume hiyo imewataka wabandike bei za bidhaa zao mahali panapoonekana wazi, na kuonya kuwa watakaokiuka maelekezo hayo watachukuliwa hatua za kisheria. Kwa mtazamo wa kawaida, hatua hiyo inaweza kuonekana kuwa ni jitihada za…

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Balozi Nchimbi alivyoanzisha safari ya maridhiano kiana

Ukimsikiliza Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi alipokuwa akizungumza katika Misa Takatifu ya mazishi ya Mwadhama Polucarp Kardinali Pengo, unaweza kudhani ni maneno ya kisiasa, lakini ukweli ameanzisha safari ya maridhiano. Alichokisema Balozi Nchimbi ni nadra sana kusikia kutoka kwa makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambao ni wahafidhina (conservatives) ambao hawataki mabadiliko na wanachukulia…

Read More

Kauli ya Dk Nchimbi imegusa changamoto za kisiasa Tanzania

Kauli ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi ya kwamba; “mambo ya kugombana kivyama siyapendi, naona ni ujinga tu,” imeibua mjadala mpana kuhusu mwenendo wa siasa nchini na wajibu wa viongozi katika kulinda umoja wa kitaifa. Kauli hiyo aliitoa wakati wa salamu za rambirambi kwenye mazishi ya Polycarp Kardinali…

Read More

Ewura yatangaza bei mpya ya mafuta, yapanda bandari zote

Dar es Salaam. Watumiaji wa bidhaa za mafuta Tanzania wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) kutangaza bei kikomo zitakazotumika Machi mwaka huu. Katika bei hizo, watumiaji wa mafuta ya dizeli wameshuhudia ongezeko la bei zaidi ikilinganishwa na wale wa petroli na mafuta ya taa. Kwa…

Read More

FYATU MFYATUZI: Nitapiga marufuku kuzaa Fyatuland

Siku hizi, mambo kuwa si mambo. Maisha yamekuwa magumu. Napanga kutangaza sera ya kuzuia mafyatu kufyatua watoi japo kwa muda. Naona yule anaitikisa kichwa akidhani mibangi imenifyatua hadi nikafyatua kitu hiki kifyatufyatu. Hapana. Nina sababu nuzuhu za kufanya hivyo. Twende kwenye hoja. Napanga kupiga marufuku kufyatua watoi hadi mambo yatakaporekebika na kufaa. Hivyo, zifuatazo ni…

Read More

Mauaji ya Khamenei na agenda nyuma ya pazia

Macho ya ulimwengu yameelekea Mashariki ya Kati. Ni vita ya Marekani na Israel, dhidi ya Iran. Matukio makubwa hadi sasa ni kuuawa kwa aliyekuwa Kiongozi Mkuu (Rahbar) wa Iran, Ali Hosseini Khamenei, mwana wa Sayyid Javad Khamenei, vilevile mashambulizi ya Iran kwenye nchi zenye kambi za kijeshi za Marekani. Iran, au kwa jina rasmi Jamhuri…

Read More