Mtazamo tofauti vyama vya siasa, sherehe za Uhuru

Dar es Salaam. Wakati ACT Wazalendo na CUF, vikidai maadhimisho ya kusheherekea miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika hayakuwa huru, kutokana na ulinzi kuimarishwa kila kona, baadhi ya vyama vya upinzani vimesifu ulinzi na usalama kutimiza wajibu wao. Desemba 9 ya kila mwaka, Tanzania Bara  inasheherekea Uhuru wake, lakini jana ilikuwa tofauti kwa Watanzania kusalia…

Read More

LHRC yataka Katiba mpya, uwajibikaji wa vyombo vya dola

Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito wa kushughuliwa vikwazo dhidi ya haki za binadamu nchini na kuzingatiwa kwa mikataba ya kimataifa na kikanda ambayo nchi imeridhia. Katika taarifa yake ya maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu Duniani, leo Jumatano, Desemba 10, 2025, LHRC imeeleza changamoto za haki…

Read More

Wadau waguswa utulivu, amani Desemba 9

Dar es Salaam. Wananchi na wachambuzi wa siasa na jamii wamesema utulivu ulioonekana Jumanne Desemba 9, 2025 unapaswa kuendelezwa ili kuimarisha ulinzi na usalama wa Taifa. Kauli zao zinakuja siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, kutoa wito wa kutunza amani wakati Tanzania ikiadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika. Wakizungumza…

Read More

Tuhuma za uchawi zawaponza watatu, wahukumiwa kunyongwa

Arusha. Hasira hasara. Ni kauli inayoakisi kilichowakuta wakazi watatu wa Murongo, wilayani Kyerwa, Mkoa wa Kagera, baada ya mmoja wao kumtuhumu Jenester Petro kutohudhuria maziko ya mtoto wake kwa kuwa ni mchawi. Nyumba ya Petro ilibomolewa na kuchomwa moto, kisha akapigwa hadi kufa na mwili wake kuteketezwa kwa petroli. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Bukoba imewahukumu…

Read More

Papa Leo XIV ajitosa mgogoro mpya wa Cambodia, Thailand

Jumatano, Papa Leo wa XIV ametoa wito wa kusitisha mara moja mapigano yaliyoshika kasi upya katika mpaka wa Thailand na Cambodia, ambako mapigano ya hivi karibuni yamesababisha vifo wakiwemo raia na kuwalazimu maelfu kukimbia makazi yao. Akihutubia waumini waliokusanyika kwa ajili ya mkusanyiko kuelekea sherehe za mwisho ya mwaka leo Jumatano Desemba 10, 2025, Papa…

Read More

Chadema ilivyopita katika tanuri la moto

Mwaka 2025 umekuwa mgumu kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutokana na mashambulizi makali ya ndani na nje kilichoyapata, jambo ambalo wachambuzi wa siasa wanaeleza kuwa wamepitishwa kwenye “tanuri la moto”. Tofauti na vyama vingine vya upinzani, Chadema kimejipambanua kama chama kikuu cha upinzani ambacho kina uwezo wa kutoa ushindani mkubwa dhidi ya Chama…

Read More

FEDHA ZA CSR ZA BARRICK NORTH ZAENDELEA KUWEZESHA WANANCHI KUPATA HUDUMA BORA ZA AFYA WILAYANI TARIME

  Mgeni rasmi akikata utepea kuashiria uzinduzi wa zahanati hiyo -Zahanati mpya yazinduliwa katika kijiji cha Mangucha Wananchi kutoka Mangucha moja ya kijiji kilichopo jirani na mgodi wa dhahabu wa North Mara wilayani Tarime walionekana kuwa na nyuso za furaha na matumaini ya kuondokana na changamoto ya kutembea mwendo mrefu kufuata huduma za afya katika…

Read More