Mauaji ya Khamenei na agenda nyuma ya pazia
Macho ya ulimwengu yameelekea Mashariki ya Kati. Ni vita ya Marekani na Israel, dhidi ya Iran. Matukio makubwa hadi sasa ni kuuawa kwa aliyekuwa Kiongozi Mkuu (Rahbar) wa Iran, Ali Hosseini Khamenei, mwana wa Sayyid Javad Khamenei, vilevile mashambulizi ya Iran kwenye nchi zenye kambi za kijeshi za Marekani. Iran, au kwa jina rasmi Jamhuri…