Mauaji ya Khamenei na agenda nyuma ya pazia

Macho ya ulimwengu yameelekea Mashariki ya Kati. Ni vita ya Marekani na Israel, dhidi ya Iran. Matukio makubwa hadi sasa ni kuuawa kwa aliyekuwa Kiongozi Mkuu (Rahbar) wa Iran, Ali Hosseini Khamenei, mwana wa Sayyid Javad Khamenei, vilevile mashambulizi ya Iran kwenye nchi zenye kambi za kijeshi za Marekani. Iran, au kwa jina rasmi Jamhuri…

Read More

Happyness alivyoyaepuka mateso ya ndoa na kuangukia udereva

Dar es Salaam. Huenda baadhi ya changamoto wanazokumbana nazo wanawake katika ndoa, ikiwemo kuachika, zikawafanya waone dunia imewatupa na hawana namna tena ya kuendelea kuishi, lakini hali haikuwa hivyo kwa Happyness Aloyce (35), dereva wa mabasi ya mwendokasi, aliyeamua kugeuza maumivu yake kuwa nguvu ya kusonga mbele. Katika mahojiano yake na Mwananchi, Happyness anaeleza safari…

Read More

Ewura yatangaza bei mpya, mafuta yapanda

Dar es Salaam. Watumiaji wa bidhaa za mafuta Tanzania wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) kutangaza bei kikomo zitakazotumika Machi mwaka huu. Katika bei hizo, watumiaji wa mafuta ya dizeli wameshuhudia ongezeko la bei zaidi ikilinganishwa na wale wa petroli na mafuta ya taa. Kwa…

Read More

Marekani na mtindo mpya kung’oa, kuweka watawala

Marekani mbabe wa dunia, mwamuzi wa mustakabali wa taifa lolote. Hivyo ndivyo unaweza kulielezea taifa hilo lenye nguvu kubwa ya kijeshi, kiuchumi na hata kiteknolojia, mambo yanayoifanya kuwa juu zaidi ya nyingine. Kwa miongo mingi tangu vita ya pili ya dunia, Marekani ilipata nguvu kubwa zilizoiwezesha kufanya uamuzi kwa niaba ya Mataifa mengine, jambo ambalo…

Read More

UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Balozi Nchimbi alivyoanzisha safari ya maridhiano kiana

Ukimsikiliza Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi alipokuwa akizungumza katika Misa Takatifu ya mazishi ya Mwadhama Polucarp Kardinali Pengo, unaweza kudhani ni maneno ya kisiasa, lakini ukweli ameanzisha safari ya maridhiano. Alichokisema Balozi Nchimbi ni nadra sana kusikia kutoka kwa makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambao ni wahafidhina (conservatives) ambao hawataki mabadiliko na wanachukulia…

Read More

Bei za mafuta juu, dizeli ikiongezeka bei mara mbili

Dar es Salaam. Watimiaji wa bidhaa za mafuta Tanzania wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) kutangaza bei kikomo zitakazotumika Machi mwaka huu. Katika bei hizo, watumiaji wa mafuta ya dizeli wameshuhudia ongezeko la bei mara mbili zaidi ikilinganishwa na wale wa petroli na mafuta…

Read More

Ondoka na Mshiko Ndani ya Meridianbet Leo

JE unajua kuwa siku ya leo unaweza kuondoka na mkwanja wako ndani ya Meridianbet kwani mechi za ushindi zote zinachezwa hapa. Suka jamvi lako la uhakika na ushide siku ya leo. Ligi kuu pendwa ya Uingereza EPL, inaendelea AFC Bournemouth atakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Brentford ambao wapo nafasi ya 7 huku wenyeji wao…

Read More