Tuhuma za uchawi zawaponza watatu, wahukumiwa kunyongwa

Arusha. Hasira hasara. Ni kauli inayoakisi kilichowakuta wakazi watatu wa Murongo, wilayani Kyerwa, Mkoa wa Kagera, baada ya mmoja wao kumtuhumu Jenester Petro kutohudhuria maziko ya mtoto wake kwa kuwa ni mchawi. Nyumba ya Petro ilibomolewa na kuchomwa moto, kisha akapigwa hadi kufa na mwili wake kuteketezwa kwa petroli. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Bukoba imewahukumu…

Read More

Papa Leo XIV ajitosa mgogoro mpya wa Cambodia, Thailand

Jumatano, Papa Leo wa XIV ametoa wito wa kusitisha mara moja mapigano yaliyoshika kasi upya katika mpaka wa Thailand na Cambodia, ambako mapigano ya hivi karibuni yamesababisha vifo wakiwemo raia na kuwalazimu maelfu kukimbia makazi yao. Akihutubia waumini waliokusanyika kwa ajili ya mkusanyiko kuelekea sherehe za mwisho ya mwaka leo Jumatano Desemba 10, 2025, Papa…

Read More

Chadema ilivyopita katika tanuri la moto

Mwaka 2025 umekuwa mgumu kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutokana na mashambulizi makali ya ndani na nje kilichoyapata, jambo ambalo wachambuzi wa siasa wanaeleza kuwa wamepitishwa kwenye “tanuri la moto”. Tofauti na vyama vingine vya upinzani, Chadema kimejipambanua kama chama kikuu cha upinzani ambacho kina uwezo wa kutoa ushindani mkubwa dhidi ya Chama…

Read More

FEDHA ZA CSR ZA BARRICK NORTH ZAENDELEA KUWEZESHA WANANCHI KUPATA HUDUMA BORA ZA AFYA WILAYANI TARIME

  Mgeni rasmi akikata utepea kuashiria uzinduzi wa zahanati hiyo -Zahanati mpya yazinduliwa katika kijiji cha Mangucha Wananchi kutoka Mangucha moja ya kijiji kilichopo jirani na mgodi wa dhahabu wa North Mara wilayani Tarime walionekana kuwa na nyuso za furaha na matumaini ya kuondokana na changamoto ya kutembea mwendo mrefu kufuata huduma za afya katika…

Read More

KONA YA MALOTO: Tanzania inamhitaji Mungu

Yupo mtu, kwa kutafsiri kichwa cha makala, anaweza kuuliza: “Lini Watanzania hawakumhitaji Mungu zaidi?” Jawabu ni kwamba hiyo ni lugha ya picha, kujenga tafsiri kuwa muktadha ulio mbele unazidi uwezo wa kawaida wa binadamu. Mbona ni mengi huambizana kuwa “yapo juu ya uwezo wetu?” Basi ndivyo ilivyo. Mungu anahitajika wakati wote, ila zipo nyakati huhitajika…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Wazee, vijana tuongee lugha moja

Waafrika tumepokea tamaduni za nje kwa namna mbalimbali. Wakati wa utumwa hali ilikuwa mbaya zaidi kwa sababu hakukuwa na namna. Watu walilazimishwa kukubali au kuuawa. Afadhali kidogo wakati wa ukoloni ambapo aliyekubali kubadilika alichukuliwa kuwa bora zaidi ya yule aliyebisha. Namna zingine zilizoathiri utamaduni wetu ni biashara na utandawazi. Lakini hizi zilikuwa na hiyari ya…

Read More

Polisi Tanzania yawaonya tena wanaopanga maandamano

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Tanzania, limewaonya kwa mara nyingine watu wanaopanga maandamano ya amani yasiyokuwa na kikomo, yaliyopigwa marufuku baada ya kukosa sifa za kisheria kufanyika kwa mujibu wa Katiba. Maandamano hayo yaliyopangwa kuanza kufanyika jana Jumanne Desemba 9,2025 katika maeneo mbalimbali nchini, lakini yalishindikana baada ya polisi na vyombo vingine vya ulinzi…

Read More