TURACO YASHIRIKI JUKWAA LA UTALII ITB-BERLIN, YAIPONGEZA TTB

Na Mwandishi Wetu, Berlin, Ujerumani. MKURUGENZI wa Mauzo wa Turaco Collection Tanzania, Florenso Kirambata akiziwakilisha hotel zao katika maonesho ya ITB- Berlin anasema kwamba, maonesho hayo ni eneo jema kabisa la kujitangaza kubadilishana uzoefu hasa katika dunia ambayo walaji (watumiaji wa huduma) wamekuwa wakibadilika kutokana na mazingira yanayotokea duniani. Florenso amebainisha kuwa, Turaco Collection kwa…

Read More

Watu 10 Wakamatwa kwa Tuhuma za Ujasusi wa IRGC Nchini Qatar

Global Publishers March 4, 2026 0 Comments Nchi ya Qatar imetangaza kukamatwa kwa watu 10 wanaoshukiwa kuwa majasusi wanaohusishwa na Iran. Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali, vikosi vya usalama vilifanikiwa kuvunja “seli mbili” zilizokuwa zikifanya kazi kwa niaba ya Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC). Watu saba walidaiwa kupewa jukumu la kukusanya taarifa…

Read More

WANYAMAPORI NI UTI WA MGONGO WA SEKTA YETU YA UTALII- MAFURU

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV Tanzania imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Wanyamapori Duniani, siku maalum inayotambua mchango wa wanyamapori katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kimazingira. Akizungumzia maadhimisho hayo Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania, Ephraim Mafuru, amesema kuwa, kwa Tanzania wanyamapori si urithi wa asili pekee bali ni sehemu ya…

Read More

ICU ni Nini? Ukweli Wote Kuhusu Chumba cha Wagonjwa Mahututi

Watu wengi hawajui mgonjwa wao akipelekwa ICU na kujiuliza kuna nini huko? ICU ni Kitengo Maalum cha Wagonjwa Mahututi. Kinarejelea mahali ambapo matibabu maalum hutolewa kwa wagonjwa ambao afya zao zimetetereka kabisa na wanaohitaji uangalizi na usaidizi maalum wa karibu na madaktari. Inatoa huduma muhimu na msaada wa maisha kwa wagonjwa waliozidiwa kiafya au waliojeruhiwa….

Read More

TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za Kitaifa za Olimpiki za Afrika (ANOCA), Bwa. Mustapha Berraf, tarehe 01 Machi, 2026, katika Ofisi za Michezo ya Vijana Afrika, jijini Algiers. Kupitia mazungumzo hayo, wawili hao walijadili kuhusu namna ya kuimarisha…

Read More