Polisi Tanzania yawaonya tena wanaopanga maandamano
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Tanzania, limewaonya kwa mara nyingine watu wanaopanga maandamano ya amani yasiyokuwa na kikomo, yaliyopigwa marufuku baada ya kukosa sifa za kisheria kufanyika kwa mujibu wa Katiba. Maandamano hayo yaliyopangwa kuanza kufanyika jana Jumanne Desemba 9,2025 katika maeneo mbalimbali nchini, lakini yalishindikana baada ya polisi na vyombo vingine vya ulinzi…