ICU ni Nini? Ukweli Wote Kuhusu Chumba cha Wagonjwa Mahututi

Watu wengi hawajui mgonjwa wao akipelekwa ICU na kujiuliza kuna nini huko? ICU ni Kitengo Maalum cha Wagonjwa Mahututi. Kinarejelea mahali ambapo matibabu maalum hutolewa kwa wagonjwa ambao afya zao zimetetereka kabisa na wanaohitaji uangalizi na usaidizi maalum wa karibu na madaktari. Inatoa huduma muhimu na msaada wa maisha kwa wagonjwa waliozidiwa kiafya au waliojeruhiwa….

Read More

TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za Kitaifa za Olimpiki za Afrika (ANOCA), Bwa. Mustapha Berraf, tarehe 01 Machi, 2026, katika Ofisi za Michezo ya Vijana Afrika, jijini Algiers. Kupitia mazungumzo hayo, wawili hao walijadili kuhusu namna ya kuimarisha…

Read More

NAIBU WAZIRI NISHATI AKUTANA NA MKURUGENZI WA GO PLANT TANZANI

……….. Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amekutana na Mkurugenzi wa Go Plant Tanzania Bw. Emmanuel Likida kwa lengo la kujadili namna ya kushirikiana katika maandalizi ya Mjadala (Debate) wa Clean Cooking Solutions utakaowahusisha wanafunzi wa shule za Sekondari katika Halmashauri za Mkoa wa Dodoma.  Katika kikao hicho, pande zote mbili zimejadili umuhimu…

Read More

Mafuriko ya mvua yaziacha kaya 14 bila makazi Moshi

Moshi. Kaya 14 zenye jumla ya watu 39 katika Mtaa wa Viwanda, Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro zimekosa makazi baada ya nyumba zao kuzingirwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha kwa zaidi ya saa sita usiku wa kuamkia Machi 2, 2026. Mbali na kupoteza makazi, familia hizo zinakabiliwa na uhaba wa…

Read More

JWK YAVUTIWA NA DAWATI LA UWEZESHAJI BIASHARA LA FORODHA

Uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kariakoo (JWK) umefanya ziara ya kutembelea dawati maalum la uwezeshaji biashara Kariakoo katika Idara ya Forodha na Ushuru ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kupongeza namna huduma zinavyotolewa katika kurahisisha biashara. Akizungumza wakati wa ziara hiyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo Bw. Sevelin Mushi amesema dawati hilo…

Read More

Mwenyekiti mpya CUF kuanza na maridhiano ya ndani

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Mirambo Yusuf ametangaza mipango ya kukijenga upya chama hicho kupitia maridhiano ya ndani yatakayolenga kumaliza migogoro ya muda mrefu iliyokikumba. Mbali na hilo, amesema anatarajia kufanya marekebisho ya katiba ya chama, hususan katika eneo la kuwatambua na kuthamini mchango wa viongozi waliowahi kukitumikia. Kwa mujibu wa…

Read More