Serikali yakata mishahara ya wabunge kutuliza waandamanaji

Jakarta. Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, ametangaza kupunguza mishahara na baadhi ya marupurupu kwa wanasiasa wa taifa hilo, ikiwemo wabunge, ili kutuliza maandamano yanayoendelea nchini humo. Hatua hiyo inakuja kutokana na maandamano ya wiki kadhaa katika taifa hilo la Kusini-Mashariki mwa Asia, ukiwemo mji mkuu, Jakarta, ulioshuhudia mamia ya waandamanaji wanaoipinga serikali. Maandamano hayo yamesababisha…

Read More

Ahadi ya Mwendokasi Mbagala yakwama tena, sababu zatajwa

Dar es Salaam. Huduma ya mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) katika barabara ya Mbagala, ambayo awali ilitarajiwa kuanza leo Jumatatu Septemba mosi, 2025, imesogezwa mbele kutokana na kutokamilika kwa miundombinu muhimu yakiwamo mageti janja na kituo cha kujazia gesi. Akizungumza leo Jumatatu, Septemba mosi 2025 na Mwananchi, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart),…

Read More

DUA MAALUM KWA TAIFA ,RAIS SAMIA YAFANA DAR

Anaripoti Rashid Mtagaluka Tukio la Dua ya kuiombea Taifa na Rais Samia Suluhu Hassan lililofanyika leo Agosti 31,2025 katika ukumbi wa DRIMP, Ilala Boma, ni kielelezo cha namna Watanzania wanavyotambua dhamana kubwa aliyoibeba Rais katika kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Dua hiyo iliyoongozwa na Sheikh Adam Mwinyipingu wa BAKWATA Ilala, imekusanya makundi mbalimbali…

Read More

Tetemeko laua 250, likijeruhi 500 Afghanistan

Watu 250 wamefariki na wengine 500 wamejeruhiwa baada ya kutokea tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa Richer scale 6.0 nchini Afghanistan usiku wa kuamkia leo. Tukio hili linajiri takriban miaka miwili baada ya tetemeko jingine kubwa lililoua zaidi ya watu 1,000 katika Mkoa wa Herat mwaka 2023 na kuacha  hatari kubwa ya majanga ya asili…

Read More