Rais Trump: Viongozi wa Iran Wanataka Tuzungumze ‘Wamechelewa’

Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kuishambulia Iran kwa maneno makali akidai kuwa viongozi waliosalia wa Tehran sasa wanataka mazungumzo, lakini “muda umechelewa.” Kupitia akaunti yake ya Truth Social, Trump aliandika: “Ulinzi wao wa anga, Jeshi la Anga, Jeshi la Wanamaji na uongozi wao umeondoka. Wanataka kuzungumza. Nilisema ‘Too Late!’…

Read More

Mbegu za asili zaidi ya 1,000 zimeingizwa kwenye mfumo rasmi

Dodoma. Serikali imesema kuwa hadi sasa imefanikiwa kutunza mbegu za asili zaidi ya aina 1,000 ambazo zimeingia kwenye mfumo rasmi ili kuwawezesha wakulima kulima kilimo hai na kutunza mazingira katika mtindo wa ikolojia. Aidha kupitia Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (Tari) wizara imefanikiwa kukusanya, kusafisha na kuhifadhi jumla ya mbegu za asili 770 katika mazao…

Read More

Vijana 6,000 kufanya kazi nje, Serikali kuwachongea njia

Dodoma. Serikali imesema licha ya kutoa fursa kwa vijana kupata mafunzo ya uanagenzi bila gharama, mwitikio bado ni hafifu. Hata hivyo, imetangaza mkakati wa kuwaunganisha zaidi ya vijana 6,000 katika fursa za kimataifa, ambapo awamu ya kwanza vijana 1,000 watakwenda kufanya kazi nchini Qatar. Kauli hiyo imetolewa Jumanne Machi 3, 2026 na Waziri wa Nchi,…

Read More

Mara yapanga bajeti ya Sh488.9 bilioni

Musoma. Sekretarieti ya Mkoa wa Mara pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa mkoani humo zinatarajia kutumia zaidi ya Sh488.9 bilioni katika mwaka wa fedha 2026/27 kwa ajili ya kutekeleza shughuli za sekretarieti ya mkoa na mamlaka za serikali za mitaa. Kiasi hicho cha fedha kinatarajiwa kutumika kwa ajili ya mishahara, matumizi mengineyo na miradi…

Read More