Kauli ya Simbachawene wananchi walivyobaki ndani siku ya Uhuru
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amewashukuru Watanzania kwa kuonyesha utulivu na uzalendo katika kuilinda amani ya Tanzania na kudumisha utulivu wakati nchi ikienda kuadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika. Mbali ya kuwasifu Watanzania, Waziri Simbachawe ameelekeza kesho Jumatano Desemba 10,2025 kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Ameyasema hayo leo Jumanne,…