Mshtakiwa wa dawa za kulevya alivyotoroka Bandari ya Dar
Dara es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Uhalifu Mtandaoni kutoka Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga, Andrew Malulu, ameieleza mahakama namna alivyomkamata Kulwa Mathias (32), anayedaiwa kusafirisha bangi kutoka Tabora kwenda Zanzibar kwa kutumia boti. Mathias alikamatwa katika Kijiji cha Solwa, wilayani Shinyanga Vijiji. Alikuwa mashineni akikoboa mpunga akarejeshwa Dar es Salaam anakodaiwa kutenda kosa…