Dk Mwinyi azitaka taasisi kuacha muhali kukomesha ukatili wa kijinsia

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amezitaka taasisi zinazopinga ukatili wa kijinsia kuacha kuoneana muhali ili kukomesha vitendo hivyo vinavyoendelea nchini. Amesema kuoneana muhali ni miongoni mwa sababu zinazochangia kukosekana kwa haki na utayari wa kupambana na janga hilo linalolitafuna Taifa. Rais Mwinyi alisema hayo leo Jumatatu Desemba 8, 2025  katika hafla maalumu…

Read More

Serikali yaja na mkakati kukomesha uagizaji bidhaa nje

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema Serikali imepanga kuokoa Sh2.8 trilioni kutokana na uagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi. Amesema utekelezaji wa hilo utafanyika kwa Serikali kuhakikisha bidhaa nane kati ya 96 zinazoagizwa nje ya nchi zinaanza kuzalishwa nchini kupitia wawekezaji. Hatua hiyo ya…

Read More

JK AENDELEA KUWA KINARA WA ELIMU DUNIANI

Rais Mstaafu Jakaya Dkt. Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education – GPE) ameendelea na jitihada za kukuza elimu duniani. Kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya GPE alisimamia Mkutano wa mwisho wa Bodi hiyo wa kuhitimisha Mpango wa 4…

Read More

Serikali yatoa kauli maandamano ya Desemba 9

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amesema kilichopangwa kufanyika nchi nzima Desemba 9, 2025 sio maandamano bali ni mapinduzi kwa kuwa  hayapo kisheria. Amesema maandamano hayo yanayodaiwa hayana ukomo kufanyika nchi nzima ni kinyume cha sheria kwa kuwa hakuna ombi lolote la kimaandishi la kufanyika maandamano hayo, hakuna anayeratibu na wala…

Read More

CHATO DC YATOA MAPENDEKEZO ELIMU YA JUU CHUO CHA IFM-CHATO

Wananchi wanaoishi kanda ya ziwa wametakiwa kuchangamkia fursa ya elimu kwa kuwapeleka watoto katika chuo cha usimamizi wa Fedha IFM kampasi ya geita kilichopo wilayani Chato. Hayo yamesemwa na mhadhiri na mkurugenzi wa IFM kampasi ya Geita Emmanuel Mtani wakati wa hafla fupi ya kuwatunuku zawadi wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao ya kuhitimu nganzi…

Read More

Waziri Kombo akutana na Balozi wa India nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India nchini, Mhe. Bishwadip Dey, katika ofisi ndogo za Wizara, jijini Dar es Salaam, tarehe 06 Desemba, 2025. Mazungumzo hayo yamezingatia maeneo ya ushirikiano zaidi kati ya Tanzania na India, kwa lengo…

Read More