Video: PM Mwigulu Awasilisha Ujumbe wa Rais Samia Kuhusu Sikukuu ya Uhuru
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasilisha rasmi ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru yatakayofanyika kesho, Jumapili Desemba 09, 2025. Amesema kuwa kwa mujibu wa maelekezo ya Rais, kesho itakuwa siku ya mapumziko ya kitaifa, hivyo Watanzania wanashauriwa kutulia majumbani na kuitumia siku…