Dkt. Mwigulu: Wanafunzi Bora Kusomeshwa Nje Kupitia Samia Scholarship

Global Publishers March 10, 2026 0 Comments WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema wanafunzi watakaofaulu kwa viwango vya juu watanufaika na ufadhili wa masomo kupitia mpango wa Samia Scholarship unaotolewa na Serikali. Dkt. Mwigulu amesema hayo wakati akizungumza na wanafunzi katika ziara yake mkoani Rukwa, ambapo pia aliwasilisha salamu maalum…

Read More

Wataalamu wa fedha SADC wajadili  kuongeza bajeti

Dar es Salaam. Wataalamu wa masuala ya fedha kutoka nchi wanachama wa Jumuiya Maendeleo ya Kusini mwa nchi za Afrika  (SADC) wamekutana jijini Pretoria nchini Afrika Kusini kujadili hali ya kifedha ya jumuiya hiyo pamoja na mikakati ya kuongeza vyanzo vya mapato ili kuimarisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kikanda. Taarifa iliyotolewa na Wizara…

Read More

TPA yasimamisha ada mpya za uendelezaji hadi Julai 1

Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imetangaza kusitisha matumizi ya ada ya uendelezaji wa miundombinu ya bandari (PID) iliyoanza utekelezaji Machi 8, 2026 na itaaanza tena kutumika Julai Mosi, 2026. Kusitishwa kwa utozaji ada hiyo kumetokana na maombi kutoka kwa wadau mbalimbali wa bandari walioomba kupatiwa muda zaidi kabla ya kuanza…

Read More

Ijue Historia ya Mwanamke Mbaya Zaidi Duniani

Katika historia ya dunia kuna hadithi nyingi ambazo zinaonyesha jinsi binadamu wanaweza kuvumilia maumivu makubwa kwa ajili ya wale wanaowapenda. Moja ya hadithi hizo ni ya Mary Ann Bevan, mwanamke kutoka Uingereza ambaye aliwahi kuitwa kwa jina la kikatili “mwanamke mbaya zaidi duniani.” Lakini nyuma ya jina hilo kulikuwa na ukweli tofauti kabisa hadithi ya…

Read More