Rais Samia aelekeza hatua za kimkakati hifadhi ya mafuta nchini
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maelekezo mahsusi kwa Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya kimkakati ya hifadhi ya mafuta ili kuongeza uwezo wa nchi kujilinda kunapotokea misukosuko duniani. Rais Samia ametoa maelekezo hayo leo Machi 3, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi mradi wa…