Sungusungu waliohukumiwa kwa mauaji walivyoepa kitanzi

Arusha. Mahakama ya Rufaa imebatilisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa iliyokuwa imetolewa dhidi ya sungusungu watatu baada ya kutiwa hatiani kwa mauaji ya mfanyakazi wa Chemi and Cortex Industries Limited, David Albert. Katika rufaa ya jinai namba 503/2024, Juma Said, Emmanuel John na Aman Saniel wameachiwa huru. Awali, Mei 4, 2023, Mahakama Kuu ilikuwa imewahukumu…

Read More

Wizara yawezesha wanawake kufikia fursa kiuchumi

Unguja. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar imesema imewezesha vikundi 6,700 vya wajasiriamali Unguja na Pemba kupitia programu ya Dk Mwinyi Boasting Fund. Kupitia programu hiyo, imetoa mikopo nafuu ya Sh2.8 bilioni,  yenye lengo la kuwawezesha kiuchumi wajasiriamali wanawake katika vikundi mbalimbali. Hayo yameelezwa leo Jumanne Machi 3, 2026 na Waziri wa…

Read More

Wajasiriamali Musoma wanufaika na msaada wa vifaa

Musoma. Wajasiriamali wadogo wa saluni za kike na kiume zaidi ya 60 wamepewa vifaa vya kazi kwa ajili ya kuboresha shughuli zao huku wakitakiwa kurasimisha biashara hizo ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea, endapo hawatafanya hivyo. Msaada huo wa mashine za kukaushia nywele, za kunyolea, majaketi, sabuni na spiriti,umetolewa na Mbunge wa Viti Maalumu, Agnes Marwa….

Read More

Masauni atoa wito kutumia fursa zilizopo kwenye Mazingira

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauniakiongea na Waandishi wa Habari Unguja, Zanzibar Machi 3, 2026 wakati akitoa kauli yaSerikali katika Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Afrika inayoadhimishwa kila mwakaMachi 3. PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS Na; Mwandishi Wetu, Unguja Serikali ya Awamu ya Sita pamoja na…

Read More

Masauni atoa wito kutumia fursa zilizopo kwenye Mazingira

Na; Mwandishi Wetu, Unguja Serikali ya Awamu ya Sita pamoja na mambo mengine imeimarisha zaidi ushirikiano wakimataifa na kutoa mchango mkubwa katika masuala ya kikanda na kimataifa yanayohusumazingira na mabadiliko ya Tabianchi. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ameyasemahayo wakati akiongea na Waandishi wa Habari Unguja, Zanzibar Machi…

Read More

WAZIRI WA MIFUGO AIPONGEZA TADB KWA KUREJESHA USHIRIKA WA WAFUGAJI, AZINDUA VITUO VYA KUKUSANYIA MAZIWA

Na Diana Deus-  Kagera. Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kwa kushirikiana na Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi, imezindua rasmi vituo 23 vya kukusanyia maziwa (Milk Collection Centers – MCCs) vilivyojengwa na kuboreshwa kupitia Mradi Shirikishi wa Wasindikaji na Wazalishaji wa Maziwa Tanzania (TI3P). Waziri wa Uvuvi na Mifugo, Dkt. Bashiru Ally…

Read More

El Mencho azikwa kwenye jeneza la dhahabu, ulinzi mkali

Mexico. Kiongozi wa genge la dawa za kulevya la Jalisco New Generation, Nemesio Oseguera Cervantes, maarufu El Mencho, amezikwa jana Jumatatu katika jeneza la dhahabu linalong’aa, likiwa limezungukwa na mashada makubwa ya maua na ulinzi mkali. Mazishi hayo yamevutia hisia mchanganyiko ya heshima, hofu na sintofahamu kwa wakazi wa jimbo la Jalisco. Jeneza hilo lilielezwa…

Read More