WANAFUAIKA WENYE ULEMAVU WAELEZA JINSI TASAF ILIVYOBADILISHA MAISHA YAO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV WAKATI leo Desemba 9,2025 Watanzania wanasherehekea miaka 64 ya uhuru ni wazi kumekuwepo na hatua mbalimbali za kuendelea kutokomeza umasikini,ujinga na maradhi. Katika kutokomeza umasikini,ujinga na maradhi, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuhalikisha inawakomboa wananchi hasa wanaotoka kaya masikini na miongoni mwao wakiwemo watu wenye…

Read More

KILIMO CHA KISASA NGUZO YA USALAMA WA CHAKULA NA UCHUMI WA KIJANI

Na Farida Mangube, Morogoro Tanzania imetajwa kuwa na fursa kubwa ya kuongeza usalama wa chakula na kukuza uchumi kupitia sekta ya kilimo endapo wakulima watahamasika kulima kilimo cha kisasa kinachojali mazingira kwa kutumia teknolojia mahiri zinazowezesha uzalishaji mkubwa kwenye eneo dogo katika kipindi ambacho mabadiliko ya tabianchi yanaendelea kuathiri sekta ya kilimo nchini. Kauli hiyo…

Read More

Tanzania, Marekani zajadili uwekezaji sekta za gesi, madini

Dar es Salaam. Tanzania na Marekani zimejadili uwekezaji katika miradi ya kuchakata gesi kuwa kimiminika (LNG) na mradi wa madini ya kimkakati wa Tembo Nickel ambao umeingia hatua za mwisho na sasa unasubiri utiwaji saini rasmi. Mbali na miradi hiyo, pia, mradi ule wa Mahenge Graphite bado unaendelea kufanyiwa kazi. Haya yamebainika leo Jumatatu, Desemba…

Read More

Serikali yapiga marufuku askari wa majiji kuwanyang’anya wafanyabiashara bidhaa zao

Dodoma. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameyaagiza majiji yote nchini kuacha mara moja vitendo vya kuwanyang’anya wafanyabiashara wadogo bidhaa zao wanazouza mitaani, kwani ndiyo ofisi na mitaji yao ya kujikomboa kimaisha. Aidha ameagiza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kufanya tathmini ya wafanyabiashara waliopo  kwenye masoko ya jiji hilo na kama bado kuna uhitaji watafute maeneo…

Read More

Jamhuri bado inachunguza kesi ya uhaini inayomkabili Mkangara

Dar es Salaam. Mshtakiwa Nasrim Mkangara anayekabiliwa na kesi ya uhaini katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ataendelea kubaki rumande hadi Desemba 22, 2025 kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kutokukamilika. Pia, shtaka la uhaini linalomkabili halina dhamana kwa mujibu wa sheria. Leo, Jumatatu Desemba 8, 2025 wakili wa Serikali, Cathbert Mbiling’i ameieleza Mahakama hiyo…

Read More