WAJA ATOA SADAKA KWA MISIKITI 65 GEITA MJINI

Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura, ametoa tende kwa misikiti 65 iliyopo katika jimbo lake ikiwa ni sadaka kwa waumini wa dini ya Kiislamu wanaoendelea na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Akizungumza wakati wa zoezi la kugawa tende hizo, Mbunge Wambura amesema amefanya hivyo kama sehemu ya sadaka yake kwa waumini wa…

Read More

Uvumilivu, bidii, imani vilivyobadili maisha ya Benedicta

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi za Kitanzania, ndoto za mtoto wa kike mara nyingi hukwama njiani kutokana na changamoto za kiuchumi, mila na mitazamo potofu. Hata hivyo, simulizi ya Benedicta Mrema ni ushuhuda kuwa bidii, uvumilivu na imani vinaweza kubadili mkondo wa maisha. Ni hadithi ya binti aliyekataa kukata tamaa licha ya vikwazo vilivyoonekana…

Read More

Mbinu Mahususi za Kumpata Mke, Mume mwema!

NI Jumanne nyingine Mungu ametujaalia pumzi ya kuendelea kuishi. Tunakutana kwenye eneo letu la kujidai, eneo la kupeana darasa la uhusiano. Tujifunze mambo mbalimbali ya uhusiano maana bila kujifunza wakati mwingine ni rahisi kuangukia kwenye ‘midomo ya mamba’. Mapenzi ya sasa ni kizungumkuti. Usipokuwa makini unaweza kujikuta kila siku unaambulia maumivu maana watu wenye mapenzi…

Read More

Vyakula Vya Kula Kwa Mgonjwa Wa Vidonda Vya Tumbo

LEO tutaangazia vyakula vya kuepukwa na wagonjwa wa vidonda vya tumbo lakini pia tutaeleza vyakula vinavyofaa kuliwa na hao wenye matatizo hayo. Ili kupunguza makali au kujiepusha kabisa na ugonjwa huo wa vidonda vya tumbo (ulcers), unapaswa kujiepusha kula vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi. VYAKULA VYA KUEPUKWA Kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo…

Read More