TAKUKURU (M) KINODNONI YAFUATILIA MATUMIZI YA FEDHA MIRADI YA SHILINGI BIL. 5
…………….. Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni imefuatilia matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo miwili katika sekta ya miundombinu yenye thamani ya Shilingi Bill 5. Akizungumza jijini Dar es salaam wakati akiwasilisha mafanikio ya utendaji kazi kwa kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2025,Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni Christian…