CHATO DC YATOA MAPENDEKEZO ELIMU YA JUU CHUO CHA IFM-CHATO

Wananchi wanaoishi kanda ya ziwa wametakiwa kuchangamkia fursa ya elimu kwa kuwapeleka watoto katika chuo cha usimamizi wa Fedha IFM kampasi ya geita kilichopo wilayani Chato. Hayo yamesemwa na mhadhiri na mkurugenzi wa IFM kampasi ya Geita Emmanuel Mtani wakati wa hafla fupi ya kuwatunuku zawadi wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao ya kuhitimu nganzi…

Read More

Waziri Kombo akutana na Balozi wa India nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India nchini, Mhe. Bishwadip Dey, katika ofisi ndogo za Wizara, jijini Dar es Salaam, tarehe 06 Desemba, 2025. Mazungumzo hayo yamezingatia maeneo ya ushirikiano zaidi kati ya Tanzania na India, kwa lengo…

Read More

MATUMIZI SAHIHI YA TEHEMA KUWAKOMBOA WATANZANIA KIUCHUMI

Na mwandishi wetu,Dar es Salaam. WITO umetolewa kwa watanzania kufanya matumizi sahihi ya tehema katika kubuni bidhaa za kiubunifu zitakazowasaidia kuongeza kipato cha kiuchumi na kutatua changamoto mbalimbali za mazingira yanayowazunguuka. Wito huo umetolewa jijini Dar es Saaam mwishoni mwa wiki na Bw. Jason Ndanguzi akimwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya ICT, Dkt. Nkundwe Mwasaga,…

Read More

Aweso: Maji ya Ruvu yawe kwa matumizi ya binadamu pekee

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amepiga marufuku matumizi ya maji yanayotoka Mto Ruvu kwa shughuli nyingine zisizo za kibinadamu, akisisitiza kuwa kwa sasa maji hayo yatatumika kwa matumizi ya binadamu pekee hadi hali ya upatikanaji itakapokuwa sawa baada ya mvua kunyesha. Aidha, ameiagiza mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Dawasa) kuhakikisha maji yanayopatikana yanagawiwa…

Read More

Hekta 170 za Mlima Hanang zaungua moto

Hanang. Hekta 170 za hifadhi ya mazingira asili ya mlima Hanang mkoani Manyara, zimeungua moto uliodumu kwa muda wa siku tatu. Mlima Hanang una ukubwa wa hekta 5,371 na urefu wa mita 3,4200 kutoka usawa wa bahari ni wa tano kwa urefu nchini ukitanguliwa na Kilimanjaro, Meru, Loolmalasin na Oldonyo Lengai. Ofisa uhifadhi wa Wakala…

Read More

Serikali yachunguza ubadhirifu wa Sh2.5 bilioni Temesa

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema wizara imebaini tuhuma za ubadhirifu wa Sh2.5 bilioni ndani ya Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) kufuatia uchunguzi wa awali uliofanyika baada ya kupokelewa barua ya wananchi iliyowasilishwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Akiwa katika ziara ya kukagua miradi ya ujenzi wa vivuko Kigamboni.                                                                                                                          Ulega, amesema…

Read More

Polisi yakana kuwateka viongozi Chadema Songwe, yadai inawashikilia kwa vitendo vya uhalifu

Songwe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limekanusha madai ya kutekwa kwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani humo, Isakwisa Lupembe, pamoja na Meya mstaafu wa Tunduma, Ally Mwafongo, na kubainisha kuwa viongozi hao wako mikononi mwa polisi wakichunguzwa kwa tuhuma za vitendo vya kihalifu. Mvutano ulizuka baada ya taarifa kusambaa mitandaoni zikidai kuwa Lupembe na Mwafongo…

Read More