Rais Samia apanga pangua mabalozi, yumo mrithi wa Polepole

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na kuwapangia vituo vya kazi mabalozi huku baadhi wakirejeshwa nchini akiwemo Balozi Mobhare Matinyi aliyekuwa Sweden. Katika mabadiliko hayo, Luteni Jenerali Mathew Mkingule aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia amepelekwa Cuba kwenda kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Humphrey Polepole ambaye Julai 13, 2025 alitangaza…

Read More

Wananchi Dar Wahimizwa Kutumia Fursa ya Samia Ardhi Kliniki

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameiomba Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kusimamia kikamilifu utoaji wa hati za ardhi ili kuhakikisha zinazingatia taratibu na mipango miji, akisema kuwa uzembe katika mchakato huo unachangia kuongezeka kwa migogoro ya ardhi. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa programu ya Samia Ardhi…

Read More

Waziri Gwajima ahimiza jamii kubadili mitazamo, kuvunja vikwazo

Arusha. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima, amesisitiza umuhimu wa jamii kubadili mitazamo na kuvunja vikwazo vinavyokwamisha usawa wa kijinsia na ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu katika jamii. Amesema Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya kisheria, kisera na kitaasisi ili kuhakikisha hakuna mwananchi anayeachwa nyuma katika safari ya maendeleo….

Read More

Mvua zahatibu barabara, RC Mtambi aomba fedha za dharura

Musoma. Serikali ya Mkoa wa Mara imeomba Sh16 bilioni kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya kugharamia matengenezo makubwa ya dharura ya barabara zilizo chini ya usimamizi wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura) mkoani humo. Ombi hilo limechochewa na uharibifu mkubwa wa barabara uliosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha, ambazo zimeelezwa kuwa hazikutarajiwa kwa…

Read More

SERIKALI, WADAU WA MAENDELEO WAKUTANA KUHAKIKI MPANGO WA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI

* Huku Nchi za Afrika zikitakiwa kufanya biashara za pamoja, Wananchi waitwa kutoa maoni… Na Leandra Gabriel, MMG KATIKA Kuhakikisha biashara, uwekezaji na uchumi wa Nchi unakua Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi na wadau mbalimbali wa Maendeleo wameendelea kujadili, kutoa maoni na mapendekezo yatakayowezesha kuweka mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji pamoja na kuiandaa…

Read More

Wanadiplomasia, wadau wa maendeleo waipa Tanzania mbinu kukuza biashara

Dar es Salaam. Wadau wa maendeleo na wanadiplomasia wameishauri Tanzania kuchukua hatua za haraka kuboresha mazingira ya biashara ili kuvutia wawekezaji zaidi. Mapendekezo yao ni pamoja na kupunguza udhibiti wa taasisi nyingi, kuondoa urasimu, kuimarisha kituo cha huduma za pamoja na kuhakikisha utekelezaji wa mipango unafanyika kwa vitendo. Wametoa maoni hayo katika mkutano wa wadau…

Read More