Rais Samia apanga pangua mabalozi, yumo mrithi wa Polepole
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na kuwapangia vituo vya kazi mabalozi huku baadhi wakirejeshwa nchini akiwemo Balozi Mobhare Matinyi aliyekuwa Sweden. Katika mabadiliko hayo, Luteni Jenerali Mathew Mkingule aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia amepelekwa Cuba kwenda kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Humphrey Polepole ambaye Julai 13, 2025 alitangaza…