Wanadiplomasia, wadau wa maendeleo waipa Tanzania mbinu kukuza biashara

Dar es Salaam. Wadau wa maendeleo na wanadiplomasia wameishauri Tanzania kuchukua hatua za haraka kuboresha mazingira ya biashara ili kuvutia wawekezaji zaidi. Mapendekezo yao ni pamoja na kupunguza udhibiti wa taasisi nyingi, kuondoa urasimu, kuimarisha kituo cha huduma za pamoja na kuhakikisha utekelezaji wa mipango unafanyika kwa vitendo. Wametoa maoni hayo katika mkutano wa wadau…

Read More

Rais Samia Afanya Uhamisho na Kupangua Vyeo vya Mabalozi

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uhamisho na kupangua vyeo vya mabalozi katika vituo mbalimbali nje ya nchi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi huo unawahusisha mabalozi kadhaa waliopangiwa kuziwakilisha Tanzania katika mataifa na…

Read More

SAMIA ARDHI KLINIKI KUONGEZA UMILIKI WA ARDHI KWA WANAWAKE

  Na.Mwandishi Wetu-Dodoma WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanzisha  kliniki maalum iitwayo Samia Ardhi Kliniki nchi nzima kwa lengo la kuongeza idadi ya wanawake wanaomiliki ardhi, ambapo kwa sasa ni asilimia 28 tu. Hatua hiyo inalenga kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, katika kuhakikisha…

Read More

Mbinu za usafiri wa bodaboda zinavyohatarisha maisha

Dar es Salaam. Ni jioni yenye msongamano Jijini Dar es Salaam, wakati ambao kila mtu akihangaika kurudi nyumbani kwa kutumia usafiri wa umma, na hapo pikipiki ‘bodaboda’ inaonekana kama njia ya haraka. Bodaboda zinaonekana suluhisho kutokana na kuweza kupenya maeneo mbalimbali, hivyo kutokaa foleni kama ilivyo kwa vyombo vingine kama magari na bajaji. Hata hivyo,…

Read More