TBS na udhibiti wa bidhaa hafifu

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wazalishaji, wasambazaji, wafanyabiashara na waingizaji wa bidhaa nchini kuhakikisha bidhaa wanazozalisha au kuuza zinakidhi matakwa ya viwango na ubora ili kulinda afya za wananchi na kutimiza azma ya Serikali ya kuhakikisha upatikanaji wa bidhaa bora sokoni. Akizungumza leo Septemba 1, 2025 na waandishi wa…

Read More

Mbinu za kutambua kipaji ulichonacho

Dar es Salaam. Kuna uhusiano wa karibu baina ya elimu na kipaji. Elimu inakuwezesha kukidhi matarajio yako na ya wengine ila kipaji kinakidhi matarajio yako. Ukiwa na elimu na kipaji, unafika mbali zaidi kuliko ukiwa na kimoja peke yake.Kila mtu ameumbwa na kipaji. Mwanasaikolojia, Howard Gardner katika nadharia yake amechambua aina mbalimbali za uwezo wa…

Read More

Viboko shuleni bado pasua kichwa, WHO yaonya

Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) imebaini kuwa adhabu ya viboko imesambaa kwa kiwango cha kutisha, ikiwakosesha usalama na haki takribani watoto 1.2 bilioni duniani kote.  Ripoti hiyo inaonesha kuwa watoto wanakumbana na adhabu ya viboko nyumbani,  huku hali ikiwa mbaya zaidi shuleni ambapo kwa nchi za Afrika takribani asilimia 70 wanafunzi wanapewa adhabu…

Read More

UNATAKA RAIS ASIWE DK. SAMIA HALAFU AWE NANI? ACHA USHAMBA

  Na Said Mwishehe,Michuzi TV KABLA ya kwenda mbali na kukumalizia bandle lako nataka nikwambie tu huu ni mwaka Uchaguzi Mkuu ikifika Oktoba 29,2025 tunaenda KUTIKI kwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM ,Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.  Ndio hivyo unakunja sura itakusaidia nini? kunjua sura ndungu yangu maisha yenyewe ndio haya haya. Sawa tufanye hutaki kumpa…

Read More

Kauli Wanazopenda Wanaume Kuzisikia Kwa Wenza Wao, Zipo Hapa – Global Publishers

HAKUNA kitu kizuri kwenye uhusiano kama kujua mwenzako anapenda nini. Unapomjua mwenzako anachokipenda, itakusaidia katika suala zima la kudumisha uhusiano. Ukimfanyia yale anayoyapenda, sio kwamba atafurahi tu bali unamtengenezea kumbukumbu nzuri.  Unatengeneza sifa njema kwa mwenzi wako. Anakuona umuhimu wako, anatambua utu wako na kukupa thamani ya kuwa mwenzi wake wa maisha. Ule ubinadamu au mambo…

Read More

NI ZAMU YA SONGWE KESHO SEPTEMBA 3, MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA KUHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe NI zamu ya Songwe kesho Septemba 3,hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea kwani mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya mikutano mikubwa ya kampeni mkoani Songwe. Msafara wa Rais Dk. Samia unatarajiwa kuwasili leo kisha kuhutubia maelfu ya wananchi wa katika mikutano yake ya kampeni itakayofanyika…

Read More

Uzinduzi Mabasi ya Mwendokasi Mbagala Wasogezwa Mbele – Global Publishers

DAR-Huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka (Mwendokasi) katika barabara ya Mbagala, ambayo awali ilitarajiwa kuanza Septemba 1, 2025 imesogezwa mbele kutokana na kutokamilika kwa miundombinu muhimu ikiwamo mageti janja na kituo cha kujazia gesi. Akizungumzia kuhusu kutokamilika kwa miundombinu hiyo, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart),Dkt. Athuman Kihamia amesema, kuchelewa…

Read More

WAMILIKI WA SILAHA WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA ZAO

………. JESHI la Polisi limewataka watu wote wanaomiliki silaha haramu kinyume na sheria kuzisalimisha kwa hiyari kunzia Sepetemba 01, hadi Oktoba 31, mwaka huu ambao ndiyo muda wa msamaha ulitolewa na Serikali. Msemaji Mkuu wa Jeshi hilo David Misime, alisema hayo leo jijini Dodoma,  wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu msamaha wa kutoshitakiwa kwa…

Read More