MATUMIZI SAHIHI YA TEHEMA KUWAKOMBOA WATANZANIA KIUCHUMI
Na mwandishi wetu,Dar es Salaam. WITO umetolewa kwa watanzania kufanya matumizi sahihi ya tehema katika kubuni bidhaa za kiubunifu zitakazowasaidia kuongeza kipato cha kiuchumi na kutatua changamoto mbalimbali za mazingira yanayowazunguuka. Wito huo umetolewa jijini Dar es Saaam mwishoni mwa wiki na Bw. Jason Ndanguzi akimwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya ICT, Dkt. Nkundwe Mwasaga,…