Jinsi ya kumjengea mtoto kujiamini

Dodoma. Huenda umewahi kukutana na mtu anayefanya kitu kwa umahiri mkubwa lakini bado anakuwa na wasiwasi. Huenda wewe ni mmoja wao. Unafanya kitu vizuri tu lakini bado unahisi hujafanya kama ulivyotarajiwa kufanya. Muda wote unajihisi kama umepungua. Hakuna sifa unayoweza kupewa na ukaipokea. Huamini kuna jema unaweza kulifanya.   Kutojiamini, kwa muktadha wa makala haya,…

Read More

Sababu wanaume kukimbia kuoa warembo

Dar es Salaam. Ni ukweli kwamba wako wanawake wengi wanaoona kuwa kuzaliwa warembo ni baraka na neema ya kipekee. Mara nyingi huzingatiwa kuwa watu wenye mvuto, wanaovutia macho ya wengi na wanaopewa nafasi ya kwanza katika makundi mbalimbali ya kijamii. Hata hivyo, pamoja na baraka hii ya uzuri unaoonekana kwa nje, uko upande mwingine wa…

Read More

Maombi nguvu ya ndoa iliyosahaulika kwa wenza

Mwanza. Katika zama hizi ambapo takwimu za kuvunjika kwa ndoa zinazidi kupanda, mijadala kuhusu nini kimetokea kwenye misingi ya familia imekuwa mingi, lakini wachache wanagusia chanzo kikuu cha kukosekana kwa nguvu ya maombi ndani ya ndoa. Viongozi wa dini na wataalamu wa masuala ya kijamii wanasema, ndoa nyingi zimepoteza ladha ya kiroho na kugeuzwa kuwa…

Read More

Gen-Z wanavyokosoa misemo ya wahenga

Dar es Salaam. Katika siku za hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii kumeibuka mjadala kuhusu misemo mbalimbali wahenga. Mjadala huo unatokana na namna ambavyo kizazi cha sasa maarufu Gen-Z kinavyotafsiri misemo hiyo ya wahenga kwa maana tofauti na iliyokusudiwa na wazee. Kwa mujibu wa Kamusi Kuu ya Kiswahili toleo la pili mhenga ni mtu mwenye…

Read More