Mbinu za usafiri wa bodaboda zinavyohatarisha maisha

Dar es Salaam. Ni jioni yenye msongamano Jijini Dar es Salaam, wakati ambao kila mtu akihangaika kurudi nyumbani kwa kutumia usafiri wa umma, na hapo pikipiki ‘bodaboda’ inaonekana kama njia ya haraka. Bodaboda zinaonekana suluhisho kutokana na kuweza kupenya maeneo mbalimbali, hivyo kutokaa foleni kama ilivyo kwa vyombo vingine kama magari na bajaji. Hata hivyo,…

Read More

SERIKALI YAWEKA UWAJIBAKAJI SEKTA YA ARDHI

 Na Munir Shemweta, WANMM  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, ameutumia uzinduzi wa “Samia Ardhi Kliniki” jijini Dar es Salaam kutangaza msimamo mkali wa Wizara dhidi ya vitendo vya uzembe na ucheleweshaji wa huduma kwa wananchi.   Katika hafla hiyo, Waziri Akwilapo amesema Wizara imeamua “kujivua gamba” na kuanza ukurasa…

Read More

WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI, BALOZI MAHMOUD THABIT KOMBO ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YA WIZARA ARUSHAi

:::::::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masharik, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ametembelea Miradi ya maendeleo inayotekelzwa na Wizara yake na taasisi zilizo chini ya Wizara jijini Arusha. Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mount Kilimanjaro (MKICC) kwenye eneo la Kijenge na ujenzi…

Read More