CHITALE AHUBIRI UMOJA MKUTANO MKUU WA WADAU MADALE GROUP
Na John Bukuku – Dar es Salaam Kaimu DAS wa Wilaya ya Kinondoni, Bw. Salumu Chitale, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya, ametumia Mkutano wa Umoja wa Wadau Madale Group uliofanyika Desemba 6, 2025 Jijini Dar es Salaam, kutoa wito wa mshikamano na ushirikiano miongoni mwa wanachama, akisisitiza kuwa ndiyo nguzo ya mafanikio ya kikundi. Amesema kuwa…