Mwananchi laizindua Serikali, yatangaza mkakati kumaliza foleni ya malori, ICDs Dar
Dar es Salaam. Serikali imeanza kuchukua hatua za kimkakati kukabiliana na msongamano wa malori na bandari kavu (ICDs) jijini Dar es Salaam kwa kusafirisha mizigo kwa njia ya reli kuanzia mwishoni mwa mwezi huu, kwenda Bandari Kavu ya Kwala. Kauli hiyo imetolewa leo, Machi 2, 2026 na Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa na kwamba…