WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE

Watu wanne wamekamatwa na madini ya vito katika mtaa wa Togo, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, kufuatia operesheni maalum iliyofanywa na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mahenge kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Wilaya ya Ulanga na uongozi wa Wilaya.Akizungumza na waandishi wa habari mapema jana kwa niaba ya Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini,…

Read More

Ulinzi ulivyoimarishwa Dar | Mwananchi

Dar es Salaam. Ulinzi umeimarishwa. Ni hali inayoonekana dhahiri unapopita katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwa sasa. Kwa kadri siku zinavyosonga ndani ya wiki moja kumekuwa na mabadiliko kwenye baadhi ya mitaa hali ya ulinzi ikiimarishwa, kuelekea Desemba 9, siku iliyotajwa kutakuwa na maandamano. Unaweza kusema kila uchao idadi ya askari…

Read More

Ndemanga Aipongeza ADEM kwa Kuandaa Marathon

MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, amewapongeza Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) kwa kuratibu na kushiriki kikamilifu mbio za marathon zilizolenga kuhamasisha juhudi za kuboresha miundombinu ya elimu katika chuo hicho. Akizungumza leo Desemba 6, 2025, mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mhe. Ndemanga alisema ni muhimu kwa taasisi kama ADEM kutambua nafasi…

Read More

BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Beno malisa ametoa wito kwa wakazi wa mkoa wa mbeya kuzilinda tunu za taifa za amani,umoja na mshikamano kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka za cristmas na mwaka mpya 2025. Wito huo umetolewa December 04 mwaka 2025 katika ofisi za halmashauri ya wilaya ya mbeya na Mkuu wa Mbarali Jenerali,…

Read More

CHATO TEACHERS SACCOS KUKOPESHA ZAIDI YA MIL. 775*

Katibu wa Chato teachers Saccos, Pius Katani, akitoa ufafanuziKushoto ni Katibu wa Saccos, Pius Katani,(katikati) mwenyekiti wa Saccos, Petro Rwegasira ***********  CHATO “Maendeleo ya kweli hayawezekani bila mabadiliko ya kifikra, na wale ambao hawawezi kubadilika namna wanavyofikiri hawawezi kubadili chochote” George Bernard Shaw alipata kuandika. Kutokana na ukweli huo unaweza kusema wazi kuwa kazi nzuri,…

Read More

𝗖𝗖𝗠 𝗛𝗔𝗜𝗧𝗔𝗦𝗜𝗧𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗟𝗜𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗪𝗔𝗕𝗔𝗕𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔𝗝𝗜 – 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘𝗭𝗜 𝗞𝗘𝗡𝗔𝗡𝗜

𝘼𝙨𝙚𝙢𝙖 𝘾𝘾𝙈 𝙞𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙟𝙞𝙗𝙪 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙛𝙪𝙖𝙩𝙞𝙡𝙞𝙖 𝙪𝙩𝙚𝙠𝙚𝙡𝙚𝙯𝙖𝙟𝙞 𝙬𝙖 𝙞𝙡𝙖𝙣𝙞 𝙮𝙖𝙠𝙚 𝙠𝙬𝙖𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙨𝙚𝙧𝙞𝙠𝙖𝙡𝙞 𝙞𝙣𝙖𝙩𝙤𝙠𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙘𝙝𝙖𝙢𝙖 𝙝𝙞𝙘𝙝𝙤. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. 𝗞𝗲𝗻𝗮𝗻𝗶 𝗞𝗶𝗵𝗼𝗻𝗴𝗼𝘀𝗶 amewataka watumishi wa umma kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi kwa kutanguliza utu na muda. Akizungumza na viongozi mbalimbali wa chama na jumuiya…

Read More

Waziri Ndejembe Mitata Janja za Umeme

NA MWANDISHI WETU WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi ya umeme moja kwa moja ikiwa ni mageuzi makubwa ya teknolojia yanayofanywa na TANESCO katika kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma kwa wateja. Ndejembi amezindua Mita janja hizo Disemba 05, 2025 katika…

Read More