Serikali kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara katika kulinda ushindani wa soko.

Na Mwandishi Wetu   Serikali imesema kuwa itahakikisha wafanyabiashara wanapata mazingira wezeshi ya biashara, kupata faida, na kuchangia katika ukuaji endelevu wa uchumi wa taifa. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi  alipomuwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushindani Duniani, yaliyofanyika  Jijini Dar…

Read More

Zigo kwa madiwani | Mwananchi

Dar/Mikoani. Uapisho wa madiwani katika maeneo mbalimbali nchini umefungua ukurasa mpya wa majukumu, matarajio na mitihani. Pamoja na kupewa dhamana ya uwakilishi kwa miaka mitano, wajibu mkubwa umewekwa mezani: kusikiliza wananchi, kutatua migogoro, kusimamia miradi, kulinda amani na kuhakikisha halmashauri zinasonga mbele. Katika kauli zilizotolewa na viongozi wa wilaya na mikoa, ujumbe unaojirudia ni mmoja:…

Read More

Mageuzi, Tanesco ikizindua mita janja

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limezindua mita janja za umeme ambazo zitamwezesha mtumiaji anaponunua umeme unaingia moja kwa moja. Ilivyo sasa baada ya kununua umeme unalazimika kuingiza tokeni kwenye mita au kwa kutumia rimoti. Mita mpya za kielektroniki zina uwezo wa kuwasiliana kimfumo, hivyo kumwezesha mteja kulipia na kuingiza umeme kwenye mita…

Read More

Wanne waliohukumiwa miaka 30 jela waachiwa

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Tabora, imewaachia huru wanne waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukutwa na hatia ya wizi wa kutumia silaha. Walioachiwa ni Adamu Seleli, Juma Ramadhani, Ramadhani Juma na Hamisi Emmanuel ambao kwa pamoja walihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Wilaya ya Nzega. Warufani hao…

Read More

Mashirika ya umma yasiyofanya vizuri kufutwa au kuunganishwa

Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Serikali imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa endapo hayatachukua hatua madhubuti za kuboresha utendaji wao. Onyo hilo lilitolewa Ijumaa, Disemba 5, 2025, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais—Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, wakati wa ziara yake…

Read More

Hekaya za Mlevi: Mitandao iwe chachu ya mafanikio

Dar es Salaam. Kila jambo lina umri wake wa kulifanya. Kama vile mtoto anavyoanza kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea hadi kukimbia, maishani mwetu pia kuna mambo mengi yanayofanyika kulingana na wakati husika. Kwa mfano ni lazima uwe na umri fulani ili uweze kuendesha gari. Kuendesha gari na kuoa kunafanana kwenye mambo kadhaa: Ni lazima uwe umetosha…

Read More