Pipi, chokoleti na korosho zenye dawa za kulevya zakamatwa Zanzibar
Unguja. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Zanzibar (DCEA), kwa kushirikiana na Kikosi Kazi cha Kupambana na Uhalifu Mkubwa wa Kupangwa (ZTOCTF), imebaini mbinu mpya za usambazaji wa dawa za kulevya kwa kutumia bidhaa za kawaida. Katika operesheni maalumu iliyofanywa na kikosi hicho, wamekamata pipi, chokoleti, korosho na shisha zenye majina ya…