SMZ yatumia Sh38 bilioni kulipa fidia wananchi

Unguja. Serikali imesema Sh38 bilioni zimetumika kuwalipa fidia wananchi waliopitiwa na miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao kisiwani hapa. Kauli hiyo imetolewa leo Jumatatu, Machi 2, 2026, na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed, katika mkutano na waandishi wa habari kuelezea mafanikio ya siku 100 za Rais wa Zanzibar, Dk…

Read More

Kuchelewa matibabu kunavyochangia bodaboda kukatwa viungo

Dodoma. Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), wametaja sababu za wagonjwa wengi hasa madereva wa bodaboda au abiria wao kukatwa sehemu ya viungo vyao, ni kuchelewa kufika kwenye huduma. Kauli hiyo imetolewa leo Jumatatu Machi 2, 2026 na Mkurugenzi wa MOI, Dk Mpoki Ulisubisya wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utendaji…

Read More

Mtaalamu sayansi, usalama wa mtandao atinga Tume

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Machi 2, 2026 imekutana na Mtaalamu wa Uchunguzi wa Kisayansi na Usalama wa Mtandao, Yusuph Kileo. Mkutano huo wa Tume na Mchunguzi huyo umefanyika katika ukumbi wa Tanganyika uliopo jengo la Benki Kuu ya…

Read More

Paa Na Kindege Cha Aviator, Nyakua Samsung Galaxy A26 Bure

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments Wapenzi wote wa kasino mtandaoni wanaojua ladha ya ushindi, huu ni muda wenu kung’ara. Meridianbet imeichangamsha Aviator kwa mipango mpya kabisa. Sasa una nafasi ya kushinda Samsung Galaxy A26 unapocheza kama kawaida. Hapa sio tu unatafuta cashout ya pesa nyingi bali pia unacheza kwa ajili ya zawadi halisi…

Read More

Rais Samia Ahitimisha Ziara ya Siku Mbili Arusha

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu Machi 02, 2026 amehitimisha ziara yake ya kikazi ya siku mbili Mkoani Arusha. Katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA…

Read More

Tanzania, Ghana zakubaliana haya | Mwananchi

Dar es Salaam. Tanzania na Ghana zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimkakati hususan katika mageuzi ya kiuchumi, ajira kwa vijana na maendeleo ya uchumi wa kidijitali. Makubaliano hayo, yamefikiwa leo Jumatatu, Machi 1, 2026 katika mazungumzo baina ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Rais wa Ghana, John Mahama yaliyofanyika Ikulu Arusha. Taarifa iliyotolewa na…

Read More