Sambo, Meya mpya Kigamboni | Mwananchi

Dar es Salaam. Madiwani 14 wa Halmashauri ya Kigamboni wamemchagua Diwani wa Kata ya Kibada, Amani Mzuri Sambo, kuwa Meya wa Halmashauri hiyo, akichukua nafasi iliyoachwa na Ernest Mafimbo aliyemaliza muda wake wa uongozi. Katika uchaguzi huo uliofanyika leo Desemba 5, 2025, Sambo ambaye alikuwa mgombea pekee, alipata kura 13 za ndiyo na mojawapo ya…

Read More

Dk Mwigulu awaambia wananchi wasihofu misaada ilikuwa miaka ya 90

Mwanza. Wakati baadhi ya wananchi wakihofia kusitishwa kwa misaada nchini kufuatia matamko mbalimbali ya kimataifa, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewatoa hofu wanaohofia kusitishwa kwa misaada nchini, akisema misaada ilikuwa miaka ya ’90’ (1990). Akizungumza na wakazi wa jijini Mwanza katika uwanja wa Nyamagana leo Ijumaa Desemba 5, 2025, Dk Mwigulu amewataka wasihofie misaada kwakuwa…

Read More

NAIBU WAZIRI ATAKA TAASISI ZA VIWANDA NA BIASHARA KUONGEZA NGUVU KATIKA TAFITI ZA TEKNOLOJIA

 :::::::: Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi, amezitaka taasisi zote chini ya wizara hiyo kuongeza msukumo katika kufanya tafiti, hususan zinazohusisha matumizi ya akili mnemba, ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya Siku ya Ushindani Duniani, Katambi alisema…

Read More