NEMC Yawatembelea Watoto Wenye Ulemavu

-𝐘𝐚𝐬𝐡𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐤𝐨𝐧𝐨 𝐊𝐢𝐭𝐮𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐄𝐫𝐢𝐜k 𝐌𝐞𝐦𝐨𝐫𝐢𝐚𝐥 𝐌𝐨𝐫𝐨𝐠𝐨𝐫𝐨 Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kupitia timu yake ya wanamichezo wanaoshiriki mashindano ya SHIMMUTA 2025 wametembelea Kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu cha Erick Memorial mkoani Morogoro Disemba 4, 2025. Timu hiyo ya NEMC ilipata fursa ya kutembelea, kufariji na kuwapa misaada ya…

Read More

DKT. NICAS: SITAWAVUMILIA WATENDAJI WASIOWAJIBIKA

Na Khadija Kalili, Kibaha MEYA wa Manispaa ya Kibaha Dkt. Nicas Mawazo amesema kuwa hawatamvumilia mtendaji ambaye atakwamisha maendeleo ya wananchi. Dkt.Mawazo amesema hayo leo tarehe 3 Desemba 2025 alipoongea na Waandishi wa habari mara baada ya baraza la madiwani la Halmashauri ambalo lilimchagua kuwa Meya wa Halmashauri hiyo. Amesema kuwa watumishi wakiwemo wakuu wa…

Read More

ISW YAENDELEA KUNG’ARA KWENYE TUZO ZA NBAA

:::::::: Naibu Mkuu wa Taasisi Mipango, Fedha na Utawala, Dkt. Zena Mnasi Mabeyo akipokea tuzo ya Uandaaji wa Hesabu kwa Viwango vya Kimataifa vya Uhasibu wa Sekta ya Umma (International Public Sector Accounting Standards (IPSAS), kundi la Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania. Katika tuzo hizo Chuo cha Ustawi wa Jamii kimeibuka mshindi wa tatu,ikiwa…

Read More

MAWAKILI MNA NAFASI KUBWA YA KUONDOA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KISHERIA KATIKA TAIFA HILI” – NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI

Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno amemuwakilisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari katika sherehe za kupokelewa na kukubaliwa Mawakili wapya wa Kujitegemea zilizofanyika tarehe 5 Desemba, 2025 Jijini Dodoma. Akizungumza katika sherehe hizo za kuwapokea na kuwakubali Mawakili wapya wa Kujitegemea, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali amewakumbusha Mawakili hao…

Read More

MAGEUZI YA ELIMU YATAWEZESHA VIJANA KUCHANGIA MAENDELEO ENDELEVU

     Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema kuwa Serikali inawetegemea wanasayansi na wahandisi ili kufanikisha dhamira ya Tanzania ya kujenga uchumi wa viwanda, amesisitiza kuwa kundi hilo lina mchango katika kuendeleza ubunifu, kuongeza tija na kuleta maendeleo endelevu nchini. Prof. Mkenda amesema hayo Disemba 5, 2025 jijini Dar es Salaam…

Read More

TASAC YAIBUKA MSHINDI WA PILI TUZO ZA NBAA 2024

Na Mwandishi Wetu Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) imeshika nafasi ya pili katika tuzo ya uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za mahesabu kwa Viwango vya Kimataifa kwa mwaka 2024 kwa Mamlaka za Udhibiti zilizoshindanishwa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu nchini (NBAA) Tuzo hiyo imepokelewa na Mkurugenzi wa Fedha  CPA Pascal Karoomba Mkurugenzi…

Read More

Waziri Sangu Awataka MaDG Kuelekeza Mikakati Dira 20

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu ametoa wito kwa Wakurugenzi wa Taasisi zilizo chini ya Ofisi hiyo kuhakikisha kuwa mipango mikakati wanayoandaa na kuitekeleza inaendana moja kwa moja na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.Amesema dhamira ya Serikali ni kuona taasisi zote zinachangia kikamilifu katika kujenga…

Read More

Waziri Kombo akutana na Balozi wa Zambia nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amefanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Zambia nchini, Mhe. Mathews Jere kuhusu masuala ya mbalimbali ikiwemo umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa uwili baina ya Tanzania na Zambia. Katika mazungumzo yao, Mhe. Kombo ametumia fursa hiyo kutuma salamu za…

Read More