NEMC Yawatembelea Watoto Wenye Ulemavu
-𝐘𝐚𝐬𝐡𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐤𝐨𝐧𝐨 𝐊𝐢𝐭𝐮𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐄𝐫𝐢𝐜k 𝐌𝐞𝐦𝐨𝐫𝐢𝐚𝐥 𝐌𝐨𝐫𝐨𝐠𝐨𝐫𝐨 Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kupitia timu yake ya wanamichezo wanaoshiriki mashindano ya SHIMMUTA 2025 wametembelea Kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu cha Erick Memorial mkoani Morogoro Disemba 4, 2025. Timu hiyo ya NEMC ilipata fursa ya kutembelea, kufariji na kuwapa misaada ya…