BRECOL Yatangaza Nafasi ya Quantity Surveyor kwa Miradi ya Majengo

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments 1️⃣ Quantity Surveyor (Civil Building Project) Minimum Qualifications: Bachelor of Science in Building, Quantity Surveying, Construction Management, or related field Minimum of 2 years proven experience in civil building projects Key Responsibilities: Prepare Bills of Quantities (BOQ), cost estimates, and tender documents Conduct cost analysis and budget control…

Read More

Ambulance lagongana na Lori, mgonjwa afariki

Na Mashaka Mhando, Tanga JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linafanya uchunguzi wa ajali mbaya ya barabarani iliyosababisha kifo cha mgonjwa mmoja na kujeruhi watu wengine wanne, baada ya gari la wagonjwa (Ambulance) kugongana uso kwa uso na lori la mizigo. Tukio hilo limetokea leo Machi 1, 2026, majira ya saa 6:10 usiku katika eneo…

Read More

Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini

Dar es Salaam. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amewataka Watanzania kudumisha amani, utulivu na mshikamano katika taifa, kwani bila amani hakuna mafanikio yanayoweza kufikiwa. Rais Mwinyi amesema hayo leo Machi mosi, 2026, katika mashindano ya kimataifa ya Quran yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam, yaliyoandaliwa na Taasisi ya Al-Hikma, yakikutanisha washiriki 26 kutoka mataifa…

Read More

JK AKABIDHI TUZO KWA VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA

RAIS  Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amekabidhi Tuzo za Viongozi Bora barani Afrika kwa Mwaka 2026 katika Hafla iliyofanyika Accra, Ghana tarehe 28 Februari 2026. Tuzo hizo zinatolewa na Jarida la Africa Leadership Magazine linaloandaliwa na Taasisi ya Uongozi Afrika (Africa Leadership Organisation) ambayo Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni Mwenyekiti wa Bodi yake ya Ushauri….

Read More

PAWA Kuzindua Kitabu Kipya Kinachomuenzi Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

CHAMA cha Waandishi wa Afrika (Pan African Writers Association – PAWA) kinatarajia kuzindua kitabu kipya kinachomuenzi aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, wakati wa Maonesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Conakry yatakayofanyika Aprili 2026 nchini Guinea Conakry. Chapisho hilo linaadhimisha maisha na uongozi wa Magufuli kufuatia kifo chake tarehe 17 Machi 2021,…

Read More

PWANI KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE IKWIRIRI

Na Khadija Kalili, Kibaha MKOA wa Pwani unaungana na Mikoa mingine nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani tarehe 8 Machi 2026 maadhimisho hayo Kimkoa yatafanyika katika Uwanja wa Ujamaa wa Ujamaa, Kata ya Umwe, Tarafa ya Ikwiriri, Halmashauri ya Mji Rufiji. Mratibu wa maadhimisho hayo Mkoa wa Pwani, Roseline Kimaro, amesema mgeni rasmi anatarajiwa kuwa…

Read More

Waziri Mkuu wadogo zako wakuige – Sumaye

Hanang‘. Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amewasihi wasaidizi wa Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuiga namna anavyotatua  changamoto na kero za wananchi kwa kusikiliza na kuzitatua. Sumaye ameyasema hayo leo Jumapili Machi Mosi, 2026, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji mdogo wa Katesh, wilayani Hanang’ mkoani Manyara. Amesema anavutiwa na namna Waziri Mkuu Mwigulu…

Read More