Win&Go Moto Kuja Na Bonasi Za Kila Siku Meridianbet

KATIKA ulimwengu wa michezo ya kasino mtandaoni, ushindani ni mkubwa lakini bado hakuna anayekaribia ubunifu na ukarimu wa Meridianbet. Safari hii wamekuvutia kwa staili mpya kabisa kupitia promosheni ya Non-Stop Win&Go Drop, ambayo imezua gumzo kila kona. Ndani ya ofa hii, unaweza kujishindia mizunguko ya bure mpaka 500 kila siku bila stress, bila presha, bila…

Read More

TMC Yaongoza Ujumbe Maalum wa Tanzania Marekani kuhusu Mageuzi ya Utawala wa Kidijitali Washington, D.C. / Dar es Salaam

TANZANIA imeanza hatua mpya katika safari yake ya mageuzi ya kidijitali baada ya ujumbe wa pamoja kati ya Serikali na Asasi za Kiraia kuanza ziara ya kitaalamu nchini Marekani kwa ajili ya kubadilishana uzoefu juu ya usimamizi na uongozi wa mifumo ya kidijitali. Ziara hiyo inaongozwa na Tech & Media Convergency (TMC) chini ya mpango…

Read More

VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUKESHA KUIOMBEA NCHI YETU : SENYAMLE

…………. Na Ester Maile  Dodoma  Mkuu wa Mkoa wa Dodoma  Rosemary Senyamule, amewataka viongozi wa dini nchini kutumia nguvu kubwa kuliombea taifa ili yasitokee matukio ya uvunjifu wa amani kama ilivyokuwa Oktoba 29, mwaka huu wakati wa uchaguzi mkuu. Senyamule, ameyabainisha hayo leo 05 Desemba 2025 jijin Dodoma  wakati  akifungua kongamano la maombi ya viongozi…

Read More

TLS yataka umakini matumizi ya AI kwenye sheria

Arusha. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimewataka wanachama wake kuwa makini na matumizi ya teknolojia katika utendaji kazi, hususan Akili Mnemba (AI), ili kunufaika nayo bila kuhatarisha haki, utu na imani ya wananchi wanaohudumiwa. Tahadhari hiyo imetolewa leo Desemba 5, 2025 jijini Arusha na Makamu Mwenyekiti wa TLS, Laetitia Ntagazwa, kwenye Mkutano wa Kawaida wa…

Read More

Qorro: Nitaimarisha ushirikiano kuchochea maendeleo ya Karatu

Arusha. Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Karatu, Engelbert Aloyce Qorro ameainisha vipaumbele atakavyovitekeleza kwa kushirikiana na viongozi wenzake kufikia malengo waliyojiwekea ya kuwaletea wananchi maendeleo. Hayo aliyasema jana, Alhamisi Desemba 4,2025 baada ya kuchaguliwa kwa kura zote 21 za madiwani wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)  pamoja na Makamu Mwenyekiti wake, Cyril Placid James kuwa…

Read More

MADINI YA EMERALD YAIBUA MVUTO MPYA WA UWEKEZAJI MKOANI RUKWA

Mkoa wa Rukwa umeendelea kujikita kuwa kitovu kipya cha uchimbaji wa madini ya emerald nchini, huku Serikali na wadau wa sekta hiyo wakihimiza vijana kuchangamkia fursa zinazopatikana katika maeneo mbalimbali ya uchimbaji. Akizungumza mara baada ya kutembelea eneo la Mponda lililopo Wilaya ya Sumbawanga, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Rukwa, Mhandisi Joseph Kumburu, amesema…

Read More