Waziri Mkuu wadogo zako wakuige – Sumaye

Hanang‘. Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amewasihi wasaidizi wa Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuiga namna anavyotatua  changamoto na kero za wananchi kwa kusikiliza na kuzitatua. Sumaye ameyasema hayo leo Jumapili Machi Mosi, 2026, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji mdogo wa Katesh, wilayani Hanang’ mkoani Manyara. Amesema anavutiwa na namna Waziri Mkuu Mwigulu…

Read More

Nani kujaza nafasi ya Kiongozi Mkuu wa Iran?

Kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei katika mashambulizi ya anga ya Marekani na Israel, kumeiweka Iran njia panda wakati uongozi wa juu wa nchi hiyo ukianza mchakato wa kumtafuta mrithi wake. Viongozi kadhaa waandamizi waliokuwa karibu na Khamenei pia wameripotiwa kuuawa katika shambulizi hilo, akiwemo mshauri wake mkuu wa usalama, Ali Shamkhani,…

Read More

Mfanyabiashara Arusha aendelea kushikiliwa, Bunge laombwa idhini

Arusha. Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Arusha, Dominic Mollel, anaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi, huku jitihada za kumpata mbunge wa Moshi Vijijini (CCM), Morris Makoi, zikitarajiwa kutua kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Februari 24, 2026, mbele ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, mfanyabiashara Josephine Shirima alidai mbunge huyo na…

Read More

Kanisa Anglikana Mbagala kufungisha ndoa za pamoja

Dar es Salaam. Kanisa Anglikana la Mtakatifu Msalaba Mbagala jijini Dar es Salaam, limetangaza mpango wa kufungisha ndoa za pamoja Aprili 1, 2026 kwa waumini wanaoishi na wenza wao bila kufunga ndoa takatifu. Mpango huo umetangazwa leo Machi 1, 2026 na Mchungaji wa Kanisa Anglikana Mtakatifu Msalaba Mbagala, Rogers Mshuza wakati wa mahubiri yake ya…

Read More

Dk Mwigulu aagiza vitendea kazi vya bodaboda na mama lishe visishikiliwe

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amezitaka halmashauri, majiji, manispaa na vyombo vyote vinavyohusika na udhibiti kuacha kuwanyanyasa wajasiriamali wadogo, wakiwemo waendesha bodaboda, bajaji na mama lishe, na badala yake waachwe wafanye shughuli zao kwa uhuru. Akijenga hoja hiyo huku akishangiliwa na wananchi, amesema iwapo mwendesha bodaboda au mama lishe atafanya kosa, anatakiwa…

Read More