Waziri Mkuu wadogo zako wakuige – Sumaye
Hanang‘. Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amewasihi wasaidizi wa Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuiga namna anavyotatua changamoto na kero za wananchi kwa kusikiliza na kuzitatua. Sumaye ameyasema hayo leo Jumapili Machi Mosi, 2026, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji mdogo wa Katesh, wilayani Hanang’ mkoani Manyara. Amesema anavutiwa na namna Waziri Mkuu Mwigulu…