
MANISPAA YA UBUNGO YATENGA MILIONI 28 KWA AJILI UTEKELEZAJI WA PJT-MMMAM
NA MWANDISHI WETU MANISPAA ya Ubungo imetengea bajeti ya fedha zaidi ya Sh milioni 28,000,000 kwa ajili ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) ambayo inalenga watoto kuanzia umri sifuri hadi miaka minane. Programu hiyo ilizinduliwa rasmi mwaka 2021 ambayo inatekelezwa kupitia afua tano za afya, lishe,…