Wahitimu wa Furahika wahimiza kufuata maadili katika kazi

NA MWANDISHI WETU WAHITIMU 121 wa Chuo cha Ufundi Stadi, Furahika wametakiwa kuzingatia maadili wanapokwenda kwenye mafunzo kwa vitendo ili kupata fursa ya kupata ajira Mwenyekiti wa Bodi chuo hicho, Suddy Kassim Suddy ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Tabata, ametoa wito huo kwa wahitimu hao wakati wa mahafali Chuo hicho Kilichopo Buguruni Malapa…

Read More

Askofu Malasusa: Udini silaha hatari kwa amani ya Taifa

Dar es Salaam. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Alex Malasusa amemkemea matamko yenye lengo la kuigawa na kuchochea chuki kwenye jamii dhidi ya dini zao. Akizungumza katika Ibada ya uzinduzi wa jengo la kuabudia KKKT Usharika wa Madale Bethel leo Desemba 7, 2025, Askofu Malasusa amewashukuru Watanzania kwa kuitikia wito…

Read More

Sherehe za harusi zinavyopewa kipaumbele ndoa zikikosa hamasa

Dar es Salaam. Sherehe za harusi zinaendelea kuwa matukio ya kijamii yanayovutia umati na kuonekana kwenye mitandao ya kijamii. Hata hivyo, ibada ya ndoa, ambayo ni kiini cha tukio, imeonekana kuhudhuriwa na watu wachache ikilinganishwa na zamani. Maendeleo ya teknolojia, vipaumbele vipya vya maisha, mizigo ya kiuchumi na mitazamo mipya ya uhusiano vinaibuliwa kama sababu…

Read More

Msigwa: Tunajitosheleza kibajeti | Mwananchi

Dar es Salaam. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Tanzania inajimudu kuendesha bajeti kuu ya Serikali bila kutegemea msaada kutoka nje, hata ikitokea msaada huo umekosekana. Msigwa amesema hayo jana, Jumamosi Oktoba 6, 2025, alipozungumzia masuala mbalimbali ya kitaifa katika mahojiano maalumu na kituo cha televisheni cha Star TV. Akizungumzia mjadala wa kujitegemea kufuatia…

Read More

Serikali yaahidi kutoa alama ya ubora zao la mwani

Unguja. Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, Masoud Ali Mohammed, ameahidi kuwapatia wazalishaji wa bidhaa za mwani alama ya ubora na uthibitisho, ili kuongeza thamani ya bidhaa hizo na kuimarisha uaminifu katika soko. Hayo amesema leo, Jumapili, Desemba 7, 2025, katika ziara ya kukagua miradi ya uchumi wa buluu na uvuvi katika Mkoa…

Read More

Serikali yatoa maagizo mapya kukabili foleni msimu wa sikukuu

Dar es Salaam. Serikali imeweka mkakati wa muda wa kupunguza foleni za magari jijini Dar es Salaam kwa kuagiza kufunguliwa kwa barabara za makutano katika maeneo yanayotekelezwa miradi ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT). Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Aisha Amour, ametoa agizo hilo jana Jumamosi, Desemba 6, 2025 alipotembelea na kukagua maendeleo ya…

Read More