Wahitimu wa Furahika wahimiza kufuata maadili katika kazi
NA MWANDISHI WETU WAHITIMU 121 wa Chuo cha Ufundi Stadi, Furahika wametakiwa kuzingatia maadili wanapokwenda kwenye mafunzo kwa vitendo ili kupata fursa ya kupata ajira Mwenyekiti wa Bodi chuo hicho, Suddy Kassim Suddy ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Tabata, ametoa wito huo kwa wahitimu hao wakati wa mahafali Chuo hicho Kilichopo Buguruni Malapa…