Masele, Katambi waitwa jukwaani kuyamaliza, Dk Nchimbi asema…

Shinyanga. Jimbo la Shinyanga Mjini, ni moja kati ya majimbo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) yaliyokuwa na mvutano mkali katika mbio za kumpata mgombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Kati ya watinia lukuki waliojitokeza, Patrobasi Katambi na Stephen Masele ndiyo walikuwa katika vuta nikuvute kubwa. Wawili hao, wamekuwa kwenye ‘vita’…

Read More

EQUITY NA TALEPP KUZINDUA MAPINDUZI SEKTA YA NGOZI

:::::: Benki ya Equity Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chama cha Watengenezaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania, TALEPPA, kwa lengo la kufungua fursa mpya katika sekta ya ngozi na kuimarisha viwanda vya ndani,Makubaliano hayo yameambatana na uzinduzi wa Mradi wa Viatu vya Shule Tanzania, TALSSI, unaolenga kuongeza thamani ya ngozi ya ndani na kuchochea…

Read More

MWENGE WA UHURU KUPITIA MIRADI YA BILIONI 1.6 CHATO

Vyumba viwili vya madarasa shule ya msingi Nyabilezi Shule ya Sekondari Kitela ikiwa ni miongoni mwa miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru Nyumba ya kulala wageni(The Grace Hotel) iliyopo kata ya Bwanga ambayo miongoni mwa miradi itakayowekewa jiwe la msingi na mwenge wa uhuru. ……….. JUMLA ya miradi yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.6 inatarajiwa…

Read More

Upelelezi bado kesi ya polisi kupora bodaboda ‎

‎‎Moshi. Jamhuri imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kuwa, Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro bado linaendelea na upelelezi wa kesi ya wizi wa pikipiki kwa kutumia silaha inayowakabili askari wanne wa Kitengo cha Intelijensia. ‎‎Taarifa hiyo imetolewa leo Jumatano, Septemba 3, 2025 na mwendesha mashtaka katika kesi hiyo, Wakili wa Serikali Jackson Matowo, wakati…

Read More

Jalada kesi ya bosi wa Jatu, linapitiwa na kusomwa upya

Dar es Salaam. Serikali imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa jalada la kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu  wa Kampuni ya Jatu  PLC, Peter Gasaya (33), linapitiwa na kusomwa na timu kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka( NPS), makao makuu Dodoma. Baada ya kupitiwa na kusomwa upya kwa jalada hilo, timu hiyo italitolea…

Read More