ONGEA NA AUNT BETTIE: Hataki nijishughulishe na kwetu hatoi huduma
Mume wangu ananikataza kufanya biashara ilihali hanitimizii mahitaji yangu na ya familia yangu. Yeye anasaidia kwao kadri Mungu anavyomjalia, ila mimi hanipi msaada wa moja kwa moja kwetu ndiyo maana nataka kufanya biashara. Ila ananikataza kiasi anaona amekuwa kikwazo cha kuisaidia familia yangu ambapo nilikuwa nikifanya hivyo kabla hajanioa. Nafikiria kuachana naye, kabla sijafanya hivyo…