‘Miradi ya miundombinu ikamilike wa wakati’
Morogoro. Wakati mvua zikiendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Dunstan Kyobya, ametaka miradi ya miundombinu kukamilika kwa wakati ili kuepusha wananchi kukwama kwenye shughuli zao za kiuchumi. Jana Ijumaa, Februari 26, 2026 akiwa katika ziara ya kukagua hali ya barabara na madaraja, Kyobya amemuagiza mkandarasi anayejenga Daraja la Mto Mfuji lililopo…