Raoma, Vodacom Wazindua Mfumo wa Kidijitali ‘SOMO’ Chini ya Kampeni ya Twende Zetu Darasani

Taasisi isiyo ya kiserikali ya RAOMA Foundation kwa kushirikiana na kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania Plc leo wamezindua mfumo mpya wa kidijitali wa elimu unaoitwa SOMO, chini ya kampeni mpya ya Twende Zetu Darasani. SOMO ni mfumo wa kidijitali ulioundwa mahususi na Vodacom Tanzania Plc ili kusaidia ufundishaji na ujifunzaji wa masomo…

Read More

RAIS DKT.SAMIA ATETA NA KATIBU MKUU JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ANAYEMALIZA MUDA WAKE IKULU JIJINI DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine, Katibu Mkuu ambaye anamaliza muda wake alimshukuru Mheshimiwa Rais na Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

Trump Atangaza Vita dhidi ya Iran, Milipuko Yaripotiwa Mashariki ya Kati, Iran Yajibu

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuanza kwa kile alichokiita “operesheni kubwa za kivita” dhidi ya Iran, akisema hatua hiyo inalenga kulinda raia wa Marekani kwa kuondoa vitisho vinavyodaiwa kutoka kwa utawala wa Tehran. Katika ujumbe wa video uliorushwa kwenye mitandao ya kijamii, Trump alisema Marekani kwa kushirikiana na Israel imeanzisha mashambulizi ya makombora yaliyolenga…

Read More

Waliohukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya bodaboda waachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha adhabu ya kunyongwa hadi kufa iliyokuwa imetolewa dhidi ya Hamis Ernest na Renatus Simon, waliokuwa wamepatikana na hatia ya kumuua dereva wa bodaboda, Gervas Genus. Kuachiwa kwao kumetokana na Mahakama ya Rufani kubaini kuwa upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha shitaka hilo bila kuacha shaka. Uamuzi huo umetolewa Februari 27, 2026…

Read More

ZEC yateketeza nyaraka 720,000 za uchaguzi mkuu wa Oktoba 29

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemalizia kazi ya kuteketeza nyaraka 720,000 za uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025. Kati ya nyaraka hizo 100,000 hazikutumika, zilizotumika Unguja ni nyaraka za kura 461,000 na Pemba kura 159,000. Akizungumza wakati wa kuteketeza nyaraka hizo leo Jumamosi, Februari 28, 2026 katika Shimo la Muungoni Mkoa wa Kusini Unguja,…

Read More

Ulimwengu Mpya wa Ujasiri na Ushindi Upo Ndani Ya Vaso Psycho Ya Meridianbet

Global Publishers February 28, 2026 0 Comments Meridianbet imeendelea kuleta mapinduzi katika burudani ya mtandaoni kwa kuzindua Vaso Psycho, uliotengenezwa na Expanse Studios unaowalenga wachezaji jasiri. Huu ni mchezo unaotoa nafasi ya kuonyesha mbinu, akili na uthubutu wako. Vaso Psycho umeundwa kwa ajili ya wale wanaotafuta ushindi wa kiwango cha juu. Katika kila mzunguko wa…

Read More

Mfugaji wa Kuku Ajishindia Pikipiki Kupitia Bahati Nasibu ya PigaBet

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Mjasiriamali na mfugaji wa kuku kutoka Mapinga, Bagamoyo, Raphael Emmanuel, amejishindia pikipiki kupitia promosheni ya “Shinda Boda” inayoendeshwa na kampuni ya michezo ya kubashiri ya PigaBet. Akizungumza wakati wa makabidhiano ya zawadi hiyo yaliyofanyika katika ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam, Raphael alimshukuru Mungu pamoja na PigaBet…

Read More