Vaso Psycho Ni Mwanzo Mpya Wa Ushindi Ndani Ya Meridianbet

MERIDIANBET imezidi kuthibitisha ubora wake katika soko la burudani mtandaoni kwa kuuleta mchezo wa kipekee wa Vaso Psycho kutoka Expanse. Huu ni mchezo unaolenga wachezaji jasiri wanaotaka zaidi ya burudani ya kawaida. Vaso Psycho ni jukwaa la kupima ujasiri, akili na uthubutu wako kila unapochukua hatua ya kuanza mzunguko mpya. Kila raundi ndani ya Vaso…

Read More

RC CHALAMILA AANDAA IFTAR MAALUM

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 27,2026 ameandaa Iftar maalum kwa wakazi wa Mkoa huo hafla ambayo imefanyika katika ukimbi wa Diamond Jubilee. Katika hafla hiyo viongozi mbalimbali wa Dini na Serikali pamoja na wananchi kutoka maeneo tofauti ya Jiji la Dar es Salaam wamehudhuria. Mgeni rasmi katika tukio…

Read More

SERIKALI YAAHIDI KUIMARISHA UBUNIFU KATIKA SEKTA YA AFYA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Mohamed Omar (kushoto) akiwa na Mwandishi wa vitabu vya Anatomia kutoka MUHAS, Profesa David Ngassapa, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Profesa Appolinary Kamuhabwa akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa vitabu vitano vya Anatomia katika hafla…

Read More

Nafasi za Kazi 27 kwa Wataalamu wa Hesabu, TEHAMA, Uhandisi na Sekta Nyingine

Global Publishers February 28, 2026 0 Comments Dodoma, Tanzania – Cereals and Other Produce Board of Tanzania (COPBT) kwa kushirikiana na Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) imetangaza nafasi 27 za kazi kwa Wataalamu wa ndani wenye uadilifu, uthubutu na weledi. Nafasi hizi zinahusisha sekta mbalimbali ikiwemo hesabu, TEHAMA, uhandisi, upimaji wa mazao, ubora wa bidhaa,…

Read More