Mkuu wa jeshi la Uganda anasema nchi yake imepeleka vikosi Sudan Kusini
Mkuu wa jeshi la Uganda amesema leo Jumanne kuwa nchi yake imepeleka vikosi maalum katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba ili kuulinda wakati mivutano kati ya Rais Salva Kiir na Makamu wake wa Kwanza wa Rais Riek Machar ikizua hofu ya kurejea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hali ya wasiwasi imeongezeka katika siku…