Maafisa wa Mrekani na Ukraine wameanza mazungumzo nchini Saudi Arabia

Maafisa wa Marekani na Ukraine wameanza mazungumzo leo Jumanne nchini Saudi Arabia huku upande wa Ukraine ukitarajiwa kuwasilisha sehemu ya mpango wa kusitisha mapigano na Russia. Mpango wa Ukraine unajumuisha kusitisha mafanikio ya makombora ya masafa marefu na sitisho la linalohusisha Black Sea. Hata Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy hakushiriki katika mikutano ya Jumanne, huku…

Read More

Rais wa zamani wa Ufilipino akabidhiwa ICC

Ndege iliyokuwa inambeba Duterte iliondoka Manila Jumanne jioni. Alikamatwa baada ya kuwasili na familia yake kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Manila Jumanne asubuhi akitokea Hong Kong, chini ya hati ya kumkamata ya ICC. Mahakama hiyo ya kimataifa iliamuru akamatwe baada ya kumshtumu kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu kutokana na sera yake mbaya ya…

Read More

UN yasema hali ya usalama Haiti inazidi kuwa hatari

Taifa hilo na limendelea kushuhudia ghasia za magenge, na Umoja wa Mataifa unakisia kwamba tayari magenge yamechukua mamlaka wa asilimia 85 ya mji mkuu wa Port-au-Prince. O’Neil alisema kuwa inazidi kuzorota zaidi kila anapotembelea taifa hilo. Alisema kwamba kutojali na ufisadi ni vizingiti kuvunja magenge hayo. Aliongeza serikali ya Haiti ni lazima iweke kipaumbele cha…

Read More