Magazeti
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 19, 2025
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 19, 2025 – Global Publishers Home Habari Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 19, 2025
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 18, 2025
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 18, 2025 – Global Publishers Home Habari Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 18, 2025
Kampuni ya Mwananchi, MSD waingia makubaliano ya kimkakati kuelimisha wananchi
Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na Bohari ya Dawa (MSD) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimkakati unaolenga kuelimisha na kuhabarisha jamii kuhusu masuala ya afya, sambamba na kuhakikisha upatikanaji wa taarifa sahihi, kwa wakati na zenye manufaa kwa ustawi wa wananchi. Hatua hiyo inalenga kupanua upatikanaji wa taarifa za afya zilizo sahihi…
Vijana 5,746 wachaguliwa mafunzo ya uanagenzi, Serikali yasisitiza ajira na ujuzi kwa vitendo
Dodoma. Serikali imetangaza kuwa jumla ya vijana 5,746 wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya uanagenzi kati ya 20,247 waliomba kushiriki kwa mwaka wa mafunzo 2025/2026, ikiwa ni sehemu ya juhudi za taifa za kuwawezesha vijana kupata ujuzi wa vitendo na kuongeza fursa za ajira nchini. Akizungumza leo Ijumaa, Januari 16, 2026 jijini Dodoma, Waziri wa Nchi,…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 16, 2025
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 16, 2025 – Global Publishers Home Magazeti Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 16, 2025
Chadema yafuta uteuzi viongozi kamati za Kanda ya Nyasa
Dar es Salaam. Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imefuta uteuzi wa wenyeviti na makatibu wa kamati za kudumu za chama hicho, Kanda ya Nyasa. Januari mosi, 2026 Mwenyekiti wa Chadema, Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu alifanya uteuzi wa makatibu na wenyeviti wa kamati za kudumu wa kanda…
Sababu za ongezeko uwekezaji wa hatifungani, Skuk
Uwekezaji katika soko la mitaji ya fedha na hisa inatajwa kama moja ya njia inayowavutia watanzania wengi sasa kujiingizia fedha bila ya msongo wa mawazo. Eneo hili linatajwa kuchangamkiwa zaidi hivi sasa kutokana na kuendelea kuenea kwa elimu ya fedha na utambuzi mzuri wa fursa zilizopo katika masoko ya hisa. Jambo hilo linawafanya wananchi kuchangamkia…