Rostam ainunua Nation Media Group

Dar es Salaam/Nairobi. Mfanyabiashara wa Afrika Mashariki, Rostam Azizi, kupitia kampuni yake ya Taarifa Ltd amenunua hisa zote zilizokuwa zikimilikiwa na Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) katika kampuni ya NPRT Holdings Africa Limited, hatua inayomfanya kuwa mbia mkuu wa Nation Media Group (NMG). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Machi 10, 2026, inaeleza…

Read More