Kampuni ya Mwananchi, MSD waingia makubaliano ya kimkakati kuelimisha wananchi

Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na Bohari ya Dawa (MSD) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimkakati unaolenga kuelimisha na kuhabarisha jamii kuhusu masuala ya afya, sambamba na kuhakikisha upatikanaji wa taarifa sahihi, kwa wakati na zenye manufaa kwa ustawi wa wananchi. Hatua hiyo inalenga kupanua upatikanaji wa taarifa za afya zilizo sahihi…

Read More

Sababu za ongezeko uwekezaji wa hatifungani, Skuk

Uwekezaji katika soko la mitaji ya fedha na hisa inatajwa kama moja ya njia inayowavutia watanzania wengi sasa kujiingizia fedha bila ya msongo wa mawazo. Eneo hili linatajwa kuchangamkiwa zaidi hivi sasa kutokana na kuendelea kuenea kwa elimu ya fedha na utambuzi mzuri wa fursa zilizopo katika masoko ya hisa. Jambo hilo linawafanya wananchi kuchangamkia…

Read More