
Magazeti







Mapigano Israel, Iran yazidi kuitikisa Mashariki ya Kati
Tehran, Iran. Hali ya wasiwasi imetanda Mashariki ya Kati baada ya mfululizo wa mashambulizi ya anga na makombora kati ya Israel na Iran, katika kinachoonekana kuwa moja ya machafuko makubwa zaidi ya kijeshi kwa siku za karibuni. Kwa mujibu wa magazeti ya The Telegraph la Uingereza na ‘The Wall Street Journal’ la Marekani, Iran imerusha makombora…



Ina pande mbili kicheko, maumivu
Dar es Salaam. Ni bajeti ya kicheko na maumivu, hivi ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kufuatia bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 kuwa na pande mbili zinazowagusa wananchi. Wapo ambao huenda wakapata nafuu kupitia bajeti hiyo baada ya kuwa na mapendekezo ya kuondolewa kwa kodi na tozo mbalimbali hali itakayosaidia kupunguza gharama na kuleta unafuu. Akiwasilisha bajeti…