Mwendokasi Mbagala kufanya kazi sambamba na daladala

Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kuanza rasmi kwa huduma ya mabasi yaendayo haraka (BRT) barabara ya Mbagala, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) imesema daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo zitaendelea kufanya safari zake kama kawaida. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatano Agosti 27, 2025, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti…

Read More

Hekaya za malevi: Akili mnemba kizibo cha akili – 2

Dar es Salaam. Siwezi kubishana na umati unaodai kuwa akili mnemba ni maendeleo. Hoja yangu ni lugha inayotumika  tukisema “Maendeleo ni kutoka mahala na kwenda mahala pengine”, haimaanishi kwenda kinyumenyume ni maendeleo. Hivyo nakusudia kusema kuwa matumizi ya akili mnemba bado hayajaeleweka sawasawa miongoni mwa watumiaji wake. Wanaiweka mbele wakidhani kuwa ina silika za ufundishaji….

Read More