Ina pande mbili kicheko, maumivu

Dar es Salaam. Ni bajeti ya kicheko na maumivu, hivi ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kufuatia bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 kuwa na pande mbili zinazowagusa wananchi. Wapo ambao huenda wakapata nafuu kupitia bajeti hiyo baada ya kuwa na mapendekezo ya kuondolewa kwa kodi na tozo mbalimbali hali itakayosaidia kupunguza gharama na kuleta unafuu. Akiwasilisha bajeti…

Read More