Mtunzi ajivunia vitabu vyake kusoma kimataifa kupitia MwanaClick

Dar es Salaam. Ni imani kuwa, mambo yanayohusu vijana yakizungumzwa na vijana wenyewe hueleweka zaidi. Ndivyo anavyoamini Abdulkadir Thabit Massa, hivyo kuwekeza muda wake mwingi kuandika kazi za fasihi zinazohusu vijana. Licha ya kuwapo sera na miongozo inayohusu kundi hilo, bado wenyewe wanapaswa kusimama kueleza wanayokabiliana nayo na kushirikishana fursa na mbinu za kutatua changamoto…

Read More

WIZARA YA FEDHA YAJINOA UTOAJI WA TAARIFA KWA UMMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano ya Wizara ya Fedha ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja akiwataka wajumbe wa Kamati hiyo kushirikiana na Kitengo hicho katika kufanikisha utoaji wa taarifa kwa umma, wakati wa Kikao kazi kilichofanyika jijini Dodoma. Afisa Habari wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: CUF 2025 inamtoa chozi Seif kaburini, Profesa Lipumba akishika tama

Agosti 31, 2025, Viwanja vya Furahisha, Mwanza, ulifanyika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za mgombea urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo. Hali ya mkutano inatafakarisha. Inasikitisha. Mahudhurio ya watu yalikuwa kidogo. Hadhira ilitosha hema moja. Kila kitu kilidhihirisha jinsi chama hicho kilivyo na uhaba wa rasilimali. Mtu mgeni na asiyejua historia, angeadhani…

Read More