
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 4,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 4,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 4,2024 Featured • Magazeti About the author
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam May 4, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 4, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Morogoro. Siku moja baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela Mohamed Salange (37) kwa kosa la kumfanyia ukatili mtoto wake wa kufikia mwenye umri wa miaka tisa, baadhi ya wananchi na ndugu wa mkewe wamepongeza hatua hiyo. Hukumu ya Salange ambayo ilisomwa jana Alhamisi Mei 2, 2024 na Hakimu…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam May 3, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 3, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 3,2024 Featured • Magazeti About the author
Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Magharibi Mhandisi Walter Christopher akizungumza wakati wa mafunzo kwa waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga yaliyoandaliwa na EWURA kwa kushirikiana na Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga ….. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 2, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 2, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam May 2, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 2, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 2,2024 Kimataifa • Magazeti About the author
Dar es Salaam. Mwanasheria na mwandishi wa vitabu vya riwaya za fasihi za Kiswahili na Kiingereza, Charles Mroka amemuelezea hayati Amir Andanenga kama mtu aliyekuwa na kipaji cha kutunga mashairi. Andanenga aliyekuwa mwanafasihi nguli na mwasisi wa Chama cha Usanifu wa Kiswahili na Ushairi Tanzania (Ukuta) amefariki usiku wa kuamkia leo Mei Mosi, 2024, katika…