Warioba ataja sababu ya wapigakura wachache

Dodoma. Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba ametaja mambo ambayo yakifanyiwa kazi mapema yatawezesha wananchi wengi kushiriki uchaguzi na kuwapata viongozi wanaowataka kuwawakilisha kwenye vyombo vya maamuzi. Jaji Warioba ametoa kauli hiyo leo Jumanne Aprili 30, 2024 kwenye kongamano la wadau wa habari na uchaguzi Tanzania lililoandaliwa na baraza la habari nchini (MCT) Jijini Dodoma….

Read More