Iran inajiandaa kumzika aliyekuwa rais, waziri wa mambo ya nje na wengine waliofariki katika ajali ya helikopta

Iran siku ya Alhamisi inajiandaa kumpumzisha aliyekuwa rais wake katika eneo takatifu zaidi kwa Waislamu wa Kishia katika Jamhuri ya Kiislamu, ikiwa ni ishara ya mwisho ya heshima kwa mfuasi wa kiongozi mkuu wa Iran aliyefariki katika ajali ya helikopta mapema wiki hii. Mazishi ya Rais Ebrahim Raisi katika Madhabahu ya Imam Reza huko Mashhad…

Read More

DC KONGWA: MAHINDI NA KARANGA MWOKOZI KWA WATOTO WADOGO KONGWA

  MKUU wa Wilaya ya Kongwa Mayeka Simon,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza sumukuvu katika mazao baada ya kuvuna kilichofanyika wilayani humo. MAKAMU  Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela,Arusha Prof.Maulilio Kipanyula,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha…

Read More