Milima, mabonde kampeni za uchaguzi zikifikisha mwezi mmoja
Dar es Salaam. Kampeni za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, zimetimiza mwezi mmoja sasa tangu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ilipotangaza rasmi kuanza kwa kampeni hizo, Agosti 28, 2025. Vyama hivyo vilianza kufanya kampeni zao kwa kuwanadi wagombea wao wa urais, ubunge na udiwani sambamba na kunadi ilani…