Ahadi tata za wagombea zawaibua wasomi

Dar es Salaam. Wakati kampeni za vyama vya siasa zikizidi kupamba moto nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wasomi wamebaini pengo kati ya ahadi zinazotolewa na baadhi ya wagombea na uwezekano wa kutekelezeka. Pengo hilo limewafanya wanataaluma hao kuona haja ya kufanya mdahalo  Septemba 28, 2025 jijini Dar es Salaam utakaovikutanisha vyama vya siasa,…

Read More